Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Fuata kalenda ya mvua za pwani, kuna vuli na masika. Sema siku hizi mvua na zenyewe hazieleweki kama zamani. Vuli ya zamani ilikuwa kt ya sept na nov na kisha masika ni march. Hiki kipindi cha vuli ndio kizuri kuotesha mhogo, kulingana na wenyeji wangu wanavyofanya. Sijui kama kuna kilimo cha umwagiliaji kwa zao la mhogo !!!!!!! Ikibidi tutaanzisha kilimo cha umwagiliaji mhogo, cheze sayansi weeeee.
Jamani nisaidieni, nimelima mhogo huko kisarawe lakini naona umeingiliwa na ugonjwa wa kuoza. Ukivuna mihogo unakuta kama imepikwa vile. Huu ni ugonjwa gani na una dawa?
 
Ndugu hata mi imenikuta,nililima maeneo ya madafu mlandizi, heka 5 zote zimeteketea!! natamani tena kurudi kwenye kilimo cha mihogo ila sijapata taarifa za kutosha tena ili nikajaribu kwingine.
 
Ndugu hata mi imenikuta,nililima maeneo ya madafu mlandizi,heka 5 zote zimeteketea!! natamani tena kurudi kwenye kilimo cha mihogo ila sijapata taarifa za kutosha tena ili nikajaribu kwingine.
Chukua mihogo yako iliyoathirika, peleka pale Kibaha idara ya kilimo, watakwambia ni ugonjwa gani, pengine wakakupa na wazo la kubadirisha mbegu au njia nyingine mbadala.
 
Jamani nisaidieni, nimelima mhogo huko kisarawe lakini naona umeingiliwa na ugonjwa wa kuoza. Ukivuna mihogo unakuta kama imepikwa vile. Huu ni ugonjwa gani na una dawa?
Nenda Kibaha regional block, uliza idara ya kilimo, wape sample ya mihogo iliyoathirika, watakupa jibu.
 
Chukua mihogo yako iliyoathirika, peleka pale Kibaha idara ya kilimo, watakwambia ni ugonjwa gani, pengine wakakupa na wazo la kubadirisha mbegu au njia nyingine mbadala.
Nashukuru kwa ushauri ndugu yangu. Nitafanya hivo.
 
Mkuu huko sokoni ulikokwenda kutafiti soko uliulizia aina za mihogo zinazopapatikiwa na walaji? Ulishaulizia misimu na bei zake? Huko sokoni uliulizia mambo yanayoangusha bei ya mihogo sokoni? Uliulizia ufungashaji na hifadhi yake? Je uuzaji upi utakulipa kwa kutumia dalali au kuuzia wauzaji moja kwa moja?

Huko shambani nako umeshakutana na wakulima kujua changamoto zinazowakabili kwenye kilimo hiki? mbegu inayofaa? changamoto wanazokutana nazo sokoni? changamoto za shambani? n.k.

Nimekuuliza hivi ili taratibu uanze kutafuta majibu mwenyewe wakati tukisubiri huenda akatokea mzoefu kueleza ulichoomba msaada. Hadi sasa ni kimya na wakati mwingine ndiyo imetoka hivyo! Dondoo ninayokupa ni kwamba usije ukabeba mbegu yako unayoipenda toka kwenu Kigoma au Mbamba bay ukaingia nayo kichwa kichwa kwenda kuipanda Kisarawe at large scale !!! Utakuja lia. Tabia ya mihogo inabadilika kutegemea na aina ya udongo. Muhogo mtamu eneo fulani unaweza kuwa mchungu eneo lingine na vice versa, ndiyo maana kuna wakazi wa mkoa mmoja Tz ukiwatajia kula mihogo wanatetemeka kwamba kwao ni sumu.

Nilishaandika hapa jukwaani JF kuna jamaa yangu alileta za kuleta kachukua mbegu yake maarufu toka kwao huko bara akaipanda Mikese, mihogo ilistawi hakuna mfano kasheshe ni pale alipokwenda mnunuzi shambani ikawa kila shina alilong'oa mhogo ukivunjwa ndani yake kuna kama ringi ya mizizi ekari tatu chali! Mfanya biashara alimpa pole kwamba next time abadili mbegu. Mbegu utakayotumia utaipata huko huko Kisarawe na iwapo utaenda na mbegu yako mpya anza nayo eneo dogo kwanza uione vitu vyake ili usijewafikiria vibaya majirani zako kwamba wamekufanyizia. Mihogo iko hivyo. Wishing you success !!
 
Halafu zaidi ya yote Kubota, kuna vyuo vya kilimo vimefanya na vinaendelea kufanya utafit juu ya masuala haya ya kilimo; hivyo basi ni vizuri kuwaona kama mtu anataka kufanya vitu seriously na kwa uhakika. Pia humu JF kuna nyuzi nyingi juu ya kilimoa cha mhogo ni vizuri majid musisi ukazipitia kwa faida ya muda mrefu. Kila la heri.
 
Mkuu huko sokoni ulikokwenda kutafiti soko uliulizia aina za mihogo zinazopapatikiwa na walaji? Ulishaulizia misimu na bei zake? Huko sokoni uliulizia mambo yanayoangusha bei ya mihogo sokoni? Uliulizia ufungashaji na hifadhi yake? Je uuzaji upi utakulipa kwa kutumia dalali au kuuzia wauzaji moja kwa moja?

Huko shambani nako umeshakutana na wakulima kujua changamoto zinazowakabili kwenye kilimo hiki? mbegu inayofaa? changamoto wanazokutana nazo sokoni? changamoto za shambani? n.k.

Nimekuuliza hivi ili taratibu uanze kutafuta majibu mwenyewe wakati tukisubiri huenda akatokea mzoefu kueleza ulichoomba msaada. Hadi sasa ni kimya na wakati mwingine ndiyo imetoka hivyo! Dondoo ninayokupa ni kwamba usije ukabeba mbegu yako unayoipenda toka kwenu Kigoma au Mbamba bay ukaingia nayo kichwa kichwa kwenda kuipanda Kisarawe at large scale !!! Utakuja lia. Tabia ya mihogo inabadilika kutegemea na aina ya udongo. Muhogo mtamu eneo fulani unaweza kuwa mchungu eneo lingine na vice versa, ndiyo maana kuna wakazi wa mkoa mmoja Tz ukiwatajia kula mihogo wanatetemeka kwamba kwao ni sumu.

Nilishaandika hapa jukwaani JF kuna jamaa yangu alileta za kuleta kachukua mbegu yake maarufu toka kwao huko bara akaipanda Mikese, mihogo ilistawi hakuna mfano kasheshe ni pale alipokwenda mnunuzi shambani ikawa kila shina alilong'oa mhogo ukivunjwa ndani yake kuna kama ringi ya mizizi ekari tatu chali! Mfanya biashara alimpa pole kwamba next time abadili mbegu. Mbegu utakayotumia utaipata huko huko Kisarawe na iwapo utaenda na mbegu yako mpya anza nayo eneo dogo kwanza uione vitu vyake ili usijewafikiria vibaya majirani zako kwamba wamekufanyizia. Mihogo iko hivyo. Wishing you success !!
Wow nimeupenda sana ushauri wako kwa jamaa mkuu, na Mungu akubariki
 
Habari wana jamvi natumai mu wazima wa afya,nina mpango wa kuanzisha kilimo cha mihogo k'sarawe na kuleta Dar kwa ajili ya kuuza.Nishafanya utafiti mdogo naweza kupata shamba la kuazima kwa bei nafuu na pia sehemu za kuuzia kwa hapa Dar pia zipo.Je kuna yeyote mwenye uzoefu na shughuli hiyo anisaidie kwa ushauri ili nijue changamoto zake.
Natanguliza shukrani zenu.
Nakushauri tu kama unampango wa kulima muhogo we lima tena wakutosha. kuna mradi unaanzishwa huko rufiji unaitwa frederic and jocelyne african starch development ndio umeanza sasa wameshapata ardhi ya kulimia muhogo kwa wingi. pia kitajengwa kiwanda kikubwa sana kwaajili ya kuzalisha starch kwa wingi.

Hivyo mradi huu utarudisha heshima ya soko la muhogo tanzaniahivyo hata wewe ambaye ulikuwa huna mpango wa kulima muhogo kawekeze mradi upo under my brothr who is a regional executive director www.fjsafrican starch development.com
 
Halafu zaidi ya yote Kubota, kuna vyuo vya kilimo vimefanya na vinaendelea kufanya utafit juu ya masuala haya ya kilimo; hivyo basi ni vizuri kuwaona kama mtu anataka kufanya vitu seriously na kwa uhakika. Pia humu JF kuna nyuzi nyingi juu ya kilimoa cha mhogo ni vizuri majid musisi ukazipitia kwa faida ya muda mrefu. Kila la heri.

Hongereni wote mliochangia,

Nakushauri nenda Kibaha mkoani idara ya kilimo, pale watakwambia aina ya mbegu ktk kijiji husika. La pili, kama shamba ni la kukodi angalia kama ni pori. Kama ni pori itabidi ufyeke na kung`oa visiki, sasa siku hizi kuna mchezo mbaya, baada ya kung`oa visiki tu wanaanzisha zengwe mbuzi ili ughairi wakati shamba umesafisha. Ingia nao mkataba kimaandishi na uonyeshe ni mihula mingapi.

Mitaa hiyo kuna tatizo la manpower kuwa mwangalifu. Mwisho ni suala la wanyama pori na wanyama watu. Karibu tuonane Kifuru.
 
Mkuu naanza ujenzi wa kiwanda cha kusindika Rufiji kuanzia Sept na by Jan 2012 nitaanza kununua tani 20 kila siku mihogo aina zote so kama utakuwa na uwezo wa kufikisha tutanunua yote. Michungu na mitamu yote tutachukua kutengezea starch tuna masoko ya nje makubwa na tutanunua bei nzuri tu mkuu.

Maelezo mengi zaidi yapo hapa mkuu

https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/39210-project-funding-sources-10.html#post2118391

Mkuu vipi kiwanda tayari tuanze kulima mihogo?
 
Mimi sio mjuzi sana ila mihogo niliilima kidogo haina gharama upate mbegu nzuri kibaha mimi walinipandia ya kawaida ila sikukosa cha kuvuna,. Huitaji ,mbolea. Nanasi wanalima wenzangu kiwangwa muda huu wanapanda hasa hizi mvua inahitaji mbolea kukuzia, palizi etc kwa eka moja gharama yaweza fika laki 8 sina uhakika. Uamuzi ni wako.
Mkuu na mimi nina vi ekari vyangu kadhaa huko. Nawaza nilime mihogo mitamu au mananasi? Vipi wewe umefikia hatua yoyote nzuri Kwa sasa?
 
Mimi sio mjuzi sana ila mihogo niliilima kidogo haina gharama upate mbegu nzuri kibaha mimi walinipandia ya kawaida ila sikukosa cha kuvuna,. Huitaji ,mbolea. Nanasi wanalima wenzangu kiwangwa muda huu wanapanda hasa hizi mvua inahitaji mbolea kukuzia, palizi etc kwa eka moja gharama yaweza fika laki 8 sina uhakika. Uamuzi ni wako.
Asante sana mama Joe,Vipi Kwa upande wa kipato kati ya mihogo na mananasi, ipi inalipa zaidi?
 
Asante sana mama Joe,Vipi Kwa upande wa kipato kati ya mihogo na mananasi, ipi inalipa zaidi?
Inalipa nanasi lakini pia inahitaji capital kubwa, kitu kingine nilichoona kwa vile ni plantations wanatumia mbolea za viwandani zaidi maana kupata za organic ni ngumu. Hivyo ardhi kwa kilimo hiki inabidi ukibadili mawazo uendelee na mbolea hizi ingawa sina hakika.

Kuna uzi humu ulielezea mbegu upandaji na faida kwa eka kwa kilimo cha nanasi hebu google utauona tu. Fukayosi sijaingia ndani ila kama udongo unafanana na wa Kiwangwa utafaa tu.
 
Inalipa nanasi lakini pia inahitaji capital kubwa, kitu kingine nilichoona kwa vile ni plantations wanatumia mbolea za viwandani zaidi maana kupata za organic ni ngumu. Hivyo ardhi kwa kilimo hiki inabidi ukibadili mawazo uendelee na mbolea hizi ingawa sina hakika. Kuna uzi humu ulielezea mbegu upandaji na faida kwa eka kwa kilimo cha nanasi hebu google utauona tu. Fukayosi sijaingia ndani ila kama udongo unafanana na wa Kiwangwa utafaa tu.
Asante sana mama Joe Kwa hizi info. Ngoja niutafute huo Uzi niusome.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom