Kilimo cha Mchaichai(Lemon Grass): Utaalamu, Masoko na changamoto zake

mkuu kilimo chochote kile kinalipa ni kuona unatumia mbinu gani kupata zaidi
kwa Mfano 1 badala ya kulima mahindi uuze kwa wanaosaga
unaweza kulima ukauza ya kuchoma au ukatenga ya kuchoma na ya kusaga unga
sasa muhindi wa kuchemsha mjini hapa DSM ni sh 1000 kwa muhindi mmoja
kilo ya mahindi ni sh 600 mpaka 800 najua bei inaweza kutofautiana kutokana na hapo ulipo kuna fursa gani kumbuka zao ni lile lile mahindi
Mfano 2 Nililima madodoki baada ya kupata mbegu bora miche mitatu tuu nikapata madodoki kama 400 hivi nikasafisha nikauza madogo sh 500 makubwa sh 1000 tena niliuza mahali tu watu wanapita yaliisha ndani ya siku nne
wakati mwingine nitauza mara 2 ya hiyo bei maana nitakuwa niweka kwenye kifungashio na nitaongeza ubora zaidi
Mfano 3 Kuna mti unaitwa Mlonge ninayo michache
huo sina kumbukumbu nimeingiza kiasi gani maana ni hela nyingi
kuanzia kuuza unga wa majani
mbegu
miche ya kuotesha

kutoka na uzoefu wangu unahitaji kupanga tu vizuri lakini kila kitu kwenye kilimo kinalipa inategemea umejipangaje
Fafanua kuhusu kilimo cha madodoki mkuu ..
 
mkuu kilimo chochote kile kinalipa ni kuona unatumia mbinu gani kupata zaidi
kwa Mfano 1 badala ya kulima mahindi uuze kwa wanaosaga
unaweza kulima ukauza ya kuchoma au ukatenga ya kuchoma na ya kusaga unga
sasa muhindi wa kuchemsha mjini hapa DSM ni sh 1000 kwa muhindi mmoja
kilo ya mahindi ni sh 600 mpaka 800 najua bei inaweza kutofautiana kutokana na hapo ulipo kuna fursa gani kumbuka zao ni lile lile mahindi
Mfano 2 Nililima madodoki baada ya kupata mbegu bora miche mitatu tuu nikapata madodoki kama 400 hivi nikasafisha nikauza madogo sh 500 makubwa sh 1000 tena niliuza mahali tu watu wanapita yaliisha ndani ya siku nne
wakati mwingine nitauza mara 2 ya hiyo bei maana nitakuwa niweka kwenye kifungashio na nitaongeza ubora zaidi
Mfano 3 Kuna mti unaitwa Mlonge ninayo michache
huo sina kumbukumbu nimeingiza kiasi gani maana ni hela nyingi
kuanzia kuuza unga wa majani
mbegu
miche ya kuotesha

kutoka na uzoefu wangu unahitaji kupanga tu vizuri lakini kila kitu kwenye kilimo kinalipa inategemea umejipangaje
Umefafanua vizuri sana
 
Dodoki ni zao zuri sana
nimeotesha tu kawaida na kutunza kama mimiea mingine
nilitumia mbolea ya kuku
mahitaji makubwa ya mmea huu ni eneo la kutambaa
unaweza kujengea kichanja ili zao lako liweze kutambaa vizuri
a.jpg
b.jpg
c.jpg
d.jpg
Kichanja chake kinaweza kuwa kama vile unavyootesha Passion Fruit
kama una fensi yenye draft draft au hata ile ya kawaida au unaeweza kuweka nguzo na binding wire kuwezesha litambae
hapo juu nilitumia chuma za turubali ambazo sizitumii tena

kwa yale uliyoyaona yana rangi ya njano utaona yanabonyea yako tayari kuvunwa

mwisho kabisa ni baadhi ambayo nimevuna hivi karibuni
mimea niliyootesha ya madodoki hayo ni matatu tuuu

unaweza kuyasafisha na sabuni baada ya kuyamenya ili kupata yenye rangi nzuri meupe
mimi nimesafisha tu na maji bila sabuni

mwisho kabisa ni vyema ukapata mbegu nzuri ambayo imefanyiwa tafiti ili upate matokeo bora

mwisho kabisa kabisa yale ambayo ni machanga kabisa yakiwa size kama ya karoti ni mboga tamu sana inatumika na baadhi ya makabila
 
Habari wana JF. Kuna habari nimesikia kuhusu kilimo cha mchaichai, kwamba kuna kampuni inawezesha wakulima kwa kuwapa mbegu, utaalamu na hatimaye kununua mazao hayo wenyewe. Je, kuna mwenye habari sahihi kuhusiana na jambo hili?
 
Habari wana JF. Kuna habari nimesikia kuhusu kilimo cha mchaichai, kwamba kuna kampuni inawezesha wakulima kwa kuwapa mbegu, utaalamu na hatimaye kununua mazao hayo wenyewe. Je, kuna mwenye habari sahihi kuhusiana na jambo hili?
Kuna wajerumani wapo morogoro wanalima hiyo kitu....

 
Kuna wajerumani wapo morogoro wanalima hiyo kitu....

Asante sana
 
Kuna wajerumani wapo morogoro wanalima hiyo kitu....

Poa sana Mkuu,Jamaa wamejitengenezea mazingira mazuri sana.
 
Ha!ha! Bro unachekesha kweli na hujaijua tu fursa iliyopo kwenye mchaichai.Kifupi soko la mchaichai kwa Dar tu halitoshelez mchaichai unatafutwa sanabado hujapata chance ya kuupeleka nje ya nchi haswa Italy.Kifupi mafuta ya mchaichai ni dili sana.mafuta ya mchaichai yanatumika kutengenezea perfume,kiungo muhimu sana,pia unatibu magonjwa mbalimbali ikiwemo kansa ya damu,pia kama kinywaji
Ni zao ambalo mtu akiwa siriaz linakupa pesa ya kutosha,kuupanda mpaka kuuvuna ni miez minne tu,baada ya hapo unakua unavuna mara kwa mara kwa mwaka unavuna mara nne.Kwa mwaka jana kilo 1 ya mchai chai ilikua inauzwa 3000 kwa ufupi ukiwa na ekari moja kwa kila mchumo au uvunaji utapata wastani wa milion saba kulingana na bei ya soko yaweza ikazidi ukiweka gharama za shamba na uvunaji na usafiri mara mwaka faida ipo kubwa sana.Kwa Bongo hakuna kiwanda hata hao utakaowauzia wanapeleka Zanzibar ndo kuna kiwanda.Kuna jamaa wanadeal na hiki kilimo wanajiita Mtandao wa kijani kibichi wapo KimaraTemboni waone watakupa ushauri,mbegu na kila kitu.
Kifupi Watanzania tukiamka na kuacha kupiga blabla hiki kilimo kina manufaa sana pia waweza kuona kuajiriwa ni utumwa masoko mengi sana .cheki hii link . Nime attach hii inahusu market research ya mchai mchai na masoko yake

🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom