M man fighter New Member Jul 8, 2016 4 0 Jul 9, 2016 #1 naombe ushaur kuhusu kilimo cha mboga ruvu mimi ni mgeni hum jf
BARA BARA YA 5 JF-Expert Member Sep 11, 2009 1,125 732 Jul 22, 2016 #2 Ruvu Ipi Mkuu, Hii Ya Bagamoyo Au Mlandizi
Adacha Member Feb 14, 2013 55 47 Jul 23, 2016 #4 Vipi kuhusu ruvu ya bagamoyo wadau haswa maeneo ya Mtoni??!
Inamonga JF-Expert Member Jun 25, 2016 779 473 Jul 24, 2016 #5 Ni ruvu ipi ambayo inawakulima wengi na nikitaka huduma kama za trekta la kukodi na pump za kumwagilia za kukodi ntapata kirahisi?
Ni ruvu ipi ambayo inawakulima wengi na nikitaka huduma kama za trekta la kukodi na pump za kumwagilia za kukodi ntapata kirahisi?