Kilimo cha mbaazi, natafuta mbegu

Kwa miaka hii miwili soko na bei nzuri ya mbaazi imeamsha ari na nguvu kuu kwa kila mkulima kuvutika kulima zao hili.
Huko mashambani plastic ya lita 20 inafika hadi sh60,000!
Kiukweli mwenyewe nimevutika haswaa!!
Uzuri wa zao hili kwa mkulima ni kwamba pesa na soko ni chapchap huna haja ya kuweka stoo.
Nendeni shamba wanaJF msibweteke na hizo salaries fikiria juu ya kesho yako. Utagundua kuwa kuishi kwako kwa kutegemea mshahara tu ni utumwa na kifungo.
Kawaida mbaazi kwa ukanda wa pwani na Moro hupandwa kwenye mvua za vuli mwezi october hadi november na utavumilia hadi august ndo mavuno na papo kwa papo unauza mbaazi zako make soko huwa "HOT" kipindi hiki hadi september.
Uzuri kipato cha mbaazi ni kikubwa kuliko ufuta, bei juu na ni nafuu katika kulima kwake na nzuri zaidi zao hili huhitaji mvua za wastani.

Anayehitaji shamba la kukodi asisite kunitafta. Zipo ekari 20 kwajili yako tena ni bonde mwinuko lenye uhakika wa kuvuna!
Kwa ekari moja unaweza vuna gunia ngapi za mbazi
 
Tupe huo mchakato wa kuuza india ukoje? Alafu suala la mbegu niachieni mm ntalimaliza..
Nilikuwa nane nane morogoro nimejifunza mengi ikiwa ni pamoja na sehemu yakuzipata mbegu bora, sio bora mbegu.
natafuta mbegu za mbaazi kwa msimu ujao, heka 15 ninaweza kupata?
 
Jcoder kibila na Inamonga tuwasiliane private msg je mna kiasi gani each ili nimweleze mdau wa India. Nitumieni na contacts za wapi mbegu bora. Demand iko juu sana India.
Jcoder kibila na Inamonga tuwasiliane private msg je mna kiasi gani each ili nimweleze mdau wa India. Nitumieni na contacts za wapi mbegu bora. Demand iko juu sana India.
Jcoder kibila na Inamonga tuwasiliane private msg je mna kiasi gani each ili nimweleze mdau wa India. Nitumieni na contacts za wapi mbegu bora. Demand iko juu sana India.
Nyamguluu..embu tuchekiane nikupe
habari nzuri mkuu,,so serious
tuone kama kuna kitu tunaweza fanya
huku nnlipo next month zitavunwa Sana..
embu nncheki hapa au ni Pm mkuu
 
Ukitaka kuuza mbaazi nje ya nchi jitahidi kuwa na angalau ton 20 halafu muweze ungana watu muwe na atleast ton 100 yani contena 5. Baada ya hapo inaenda pimwa kwenye maabaravkujua viwango vya madini, protein vitamini nakadhalika. After that kwa kutumia ripoti yako hio tuna contact wanunuzi kupata bei. Mkiridhiana basi process zingine hufwata.
 
Mbaazi kulima ni mchakato kuna chaangamoto zake...kuchuma...watu wengi hawajui am a hawana uzoefu..mwaka Jana nililima...ila mwaka huh nimezitelekeza....ukipata uhakikaa was vibarua na ulime kwa large scale...
 
Mbaazi kulima ni mchakato kuna chaangamoto zake...kuchuma...watu wengi hawajui am a hawana uzoefu..mwaka Jana nililima...ila mwaka huh nimezitelekeza....ukipata uhakikaa was vibarua na ulime kwa large scale...
umetelekeza mbaazi upo wapi na ni ekari ngapi zipo
 
Jcoder kibila na Inamonga tuwasiliane private msg je mna kiasi gani each ili nimweleze mdau wa India. Nitumieni na contacts za wapi mbegu bora. Demand iko juu sana India.
Mkuu mm natazamia kulima mwaka huu heka 20,ila natafuta soko mapema mana kupata soko mapema ni muhimu ila kama unaweza msimu ujao naamini mungu akipenda.nitakuwa.na.Mbaazi nyingi sana mana shamba tayari ninalo pia mbegu
 
Ukitaka kuuza mbaazi nje ya nchi jitahidi kuwa na angalau ton 20 halafu muweze ungana watu muwe na atleast ton 100 yani contena 5. Baada ya hapo inaenda pimwa kwenye maabaravkujua viwango vya madini, protein vitamini nakadhalika. After that kwa kutumia ripoti yako hio tuna contact wanunuzi kupata bei. Mkiridhiana basi process zingine hufwata.
Kaka nina mbaazi tan20 naomba mwongozo ...email: ibrahim_abeid@yahoo.com
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom