MADA: Fahamu zaidi kuhusu mbinu za kilimo cha tikitimaji, faida na changamoto zake

kama hujawahi kufanya hii shighuli nakushauri uanze kidogo. binafsi nimepoteza 7M ndani ya miezi mitatu iliyopita kutokana na hichi kilimo cha matikiti.

Onyo usije ukaenda kukopa pesa ili ukalime matikiti. itakul kwako.
 
Chunguza soko kwa miezi unayotegemea kuvuna,tikiti ni 3 month,kama utazihudumia vizuri (mbegi bora,dawa na umwagiliaji wa kutosha) na ukakuta soko halina tikiti nyingi utapiga pesa(vice versa is true)_kila la kheri
 
Ahsante sana mkuu kwa uzi huu mwezi ujao nataka nianze kulima tikiti
 
Tujaribu bila kukata tamaaa,kuna vitu tunakosea, Usimamizi mzuri,utumiaji wa mbolea na madawa,na ukipata sehemu ina maji ya kutosha naamini unaweza kupata faida.

Tafuta shamba,tafuta wasimamizi wazuri,na wwe mwenyewe tenga muda wa kufuatilia,faida ipo,kitu kizuri lazima ukisimamie vizuri.
 
Kilimo nakiogopa haswaaa


Kilimo ni.kizuri...ila sio kwa Tanzania! kwanza madawa mengi ni feki...unanunua hayaende kuua ugonjwa halisi...mazao yanfubaa na kupungua.

Mamlaka zinajiinuaga then zinalala! sokoni sasa ndo mazingaombwe...kuna mwaka mama alilima viazi mviringo eka kama 20...nikamwambia nitakusaidia kutafta soko kkoo..

Sidhan kama kwenye msafara wa mbingini madalali wataingia mbinguni jamani. Walinifruaste balaa. Halafu wanaambizana kabisa wote ule mzigo ununuliwe kwa bei fulani..yaan sina hamu nao wale.

Mara wakuambie kiazi chako kibaya..hahahaana unavyoviona sokoni ni hvyo hvyo...tukaja uza kwa faida ndg sana...niliamua kukaza kias kikaa 1wk nikaona nilegeze tu...
nikasema nikipeleke zenji figisu kibaooo...!washenz sana wale mbwa!
 
FUSO,

Tena hao wachina nux sana best...mwaka 2016 walikuja kwa kasi kwa baadhi ya mikoa tukahamishwa tulime mihogo watanunua wenyewe..jaman km mihogo watu wakalima..ajabu wakawa wananunua kilo ya mhogo kwa shilingi100/=..!

haya kuna shirika nadhan base yake iko Njombe..wakasema tulime maharage meupe wananunua kilo 2000😂😂😂..kifupi tulikula maharage kila siku had yakaisha😂😂 sisahau hii mm!
Wakaja.wakasem tulimw pilipili zile mwendokasi watanunua kilo kwa 1500/ hakuna aloiza hata kilo 2...yaan ujinga tu
 
Tena hao wachina nux sana best...mwaka 2016 walikuja kwa kasi kwa baadhi ya mikoa tukahamishwa tulime mihogo watanunua wenyewe..jaman km mihogo watu wakalima..ajabu wakawa wananunua kilo ya mhogo kwa shilingi100/=..!

haya kuna shirika nadhan base yake iko Njombe..wakasema tulime maharage meupe wananunua kilo 2000😂😂😂..kifupi tulikula maharage kila siku had yakaisha😂😂 sisahau hii mm!
Wakaja.wakasem tulimw pilipili zile mwendokasi watanunua kilo kwa 1500/ hakuna aloiza hata kilo 2...yaan ujinga tu
Yes kuna changamoto kwenye kilimo, nakushauri kwa sasa mambo si mabaya sana - tafuta ardhi ya pimisha udongo yaani PH ukimaliza weka taratibu upate HATI miliki. Hapo utakuwa umetumia 5m.

Utakuwa umebakia na 15m, Nenda SUA ingia nao mitakataba ya consultation muanze nao kilimo cha kisasa. Hakikisha product yako iwe na viwango vya kimataifa ili uweze kuuza kwenye soko ndani (Supermarkets )na nchi jirani.

Kwa sasa achana na hao wachina kwanza. mtaji wako unakutosha kabisa, longo longo kwa sasa zimepungua unaweza kufanikiwa - kaza msuli mjomba.
 
Tena hao wachina nux sana best...mwaka 2016 walikuja kwa kasi kwa baadhi ya mikoa tukahamishwa tulime mihogo watanunua wenyewe..jaman km mihogo watu wakalima..ajabu wakawa wananunua kilo ya mhogo kwa shilingi100/=..!

haya kuna shirika nadhan base yake iko Njombe..wakasema tulime maharage meupe wananunua kilo 2000..kifupi tulikula maharage kila siku had yakaisha sisahau hii mm!
Wakaja.wakasem tulimw pilipili zile mwendokasi watanunua kilo kwa 1500/ hakuna aloiza hata kilo 2...yaan ujinga tu

Hahah mlikula maharage mpk mkaomba poooo,poleni mkuu.

Hata kule Handeni walihamasisha watu kulima mihogo balaa wakiambiwa wachina watanunua, lkn naona sa hivi wanaishia kuambiwa tu mhogo ni zao linavumulia ukame kwa hio kuanzia sasa wilaya yetu haitakua na balaa la njaa maana tuna akiba ya kutosha ya mihogo hahah.,wachina hawasikiki tena.
 
Uzi wa Muda ila ushaur wangu cheki kilimo cha maharage
Habari yenu,
Nadhani hapa kuna wataalamu wa kilimo, nimepata sehem nataka nilime matikiti maji kwa kuangalia nimeona ndo biashara inayolipa haraka haraka,

Mtaji nilionao wa kuanzia ni 20,000,000 naomba ushauri wenu juu ya hatua za kufuata,
 
Hahah mlikula maharage mpk mkaomba poooo,poleni mkuu.

Hata kule Handeni walihamasisha watu kulima mihogo balaa wakiambiwa wachina watanunua, lkn naona sa hivi wanaishia kuambiwa tu mhogo ni zao linavumulia ukame kwa hio kuanzia sasa wilaya yetu haitakua na balaa la njaa maana tuna akiba ya kutosha ya mihogo hahah.,wachina hawasikiki tena.



hhhhhhhaaa nakumbuka hili jibu aisee..hahaha! inakera mno...! uzuri mie koye huko nimepita n wataalam kbs wa Sua..so sioni jipya kbs!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom