Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

Habarini wakuu!

Jamani mimi nataka kulima tikiti maji kibiashara zaidi mapema iwezekanavyo mwezi wa pili 2019, lakini naomba nisaidiwe mambo yafuatayo:-

i/Nahitaji kulima na mtu mzoefu na aliyebobea katika kilimo hiki cha tikiti.
2/Awe mkulima aidha mwenye supply contract au awe na linkages kwenye masoko ya uhakika.
3/awe analimia sehemu ambayo maji ni ya uhakika kwa kipindi chote cha uzalishaji.
4/Anipe mchanganuo wa gharama zote za uzalishaji.. Kuanzia kukodi shamba mpaka kuvuna kwa ekari moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba bei ya alizeti kwa debe/gunia
IMG_20190314_131715_2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakubwa mimi nina swali moja, jee mbegu kutoka north america zinaweza kumea vizuri hapa nyumbani?
Ndo tena vizuri sana.
Kwani sasa virutubisho vyote vya mbegu hizo zinapatikana nchini.

Kupitia NeoLife company distributors
Bidhaa kama super gro na neolife-care. Sikujuta na hauto juta.

Au kwa mawasiliano zaidi andika neno
Mbegu kwa nambari 0769788959.
 
Write your reply...kwa yoyote anayehitaji kulima matikiti maji kwa ukanda wa pwani hususani wilaya ya MKURANGA na huna muda wa kusimamia shamba mwanzo mwisho tunatoa huduma hii kwa gharama ndogo sana, utakabidhiwa shamba Siku ya mavuno. kama unahitaji huduma hii wasiliana nami 0622925630
 
Write your reply...kwa yoyote anayehitaji kulima matikiti maji kwa ukanda wa pwani hususani wilaya ya MKURANGA na huna muda wa kusimamia shamba mwanzo mwisho tunatoa huduma hii kwa gharama ndogo sana, utakabidhiwa shamba Siku ya mavuno. kama unahitaji huduma hii wasiliana nami 0622925630
Gharama yake ni kiasi gani kwa maeneo ya mwana mbaya kiongozi
 
Maelezo nimarefu sana in shot
Kwahuku Mbeya
Kukodi shamba 80,000
Kulima 50,000
Kupanda 50,000
Mbegu 70,000 kwa
Palizi mbili 100.000
Msimamizi 250.000
Mbolea 180,000
Madawa jumla uwe na 250,000
Hizo ndo gharama nilizo tumia Mimi
Kwa wastan wachini kabisa ukivuna utapata m 1.6
Wastani wajuu ni m4 kwa hekari
Maana nilishuhudia jirani yangu ililima hekari 4 na nusu alipata milio 21 cash sijasimuliwa tulikuwa wote siku hio so tikiti inalipa sana
 
Tikiti zipo ainabili msihangaike na makampuni kuna tikiti jeusi LA mviringo kabisa kama mpira hilo tikiti panda wakati wa kiangazi halitaki mvua wala ukipanda wakati wa mvua lazima ulie aina yapili tikiti lenye umbire LA yai hulo panda wakati wa mvua utafurahi Ila nalo ukipanda kiangazi linasumbua sana pia kadiria kama una panda wakati wa mvua pia na uandaaji wa matuta ya matikiti ukizinhatia hayo huji Julia kaka tikiti INA LIPA itakapo panda tena zingatia hayo
Habarini wakuu!
Jamani mimi nataka kulima tikiti maji kibiashara zaidi mapema iwezekanavyo mwezi wa pili 2019....lakini naomba nisaidiwe mambo yafuatayo:-
i/Nahitaji kulima na mtu mzoefu na aliyebobea katika kilimo hiki cha tikiti.
2/Awe mkulima aidha mwenye supply contract au awe na linkages kwenye masoko ya uhakika.
3/awe analimia sehemu ambayo maji ni ya uhakika kwa kipindi chote cha uzalishaji.
4/Anipe mchanganuo wa gharama zote za uzalishaji.. Kuanzia kukodi shamba....mpaka kuvuna kwa ekari moja

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale wanaopenda kujiunga na whatsapp group la wakulima wa matikiti, fuata hiyo link kujiunga tafadhali.
Nenda kwenye masoko ya hapo mjini au miji jirani kuna wanunuzi wa Jumla, itakuwa vizuri zaidi.
Keep it up, pambana mwanzo mwisho. Mbona umetumia gharama kubwa ivo...?
Wana jamii mi nadhan kama kuna mtu yeyote amejiunga na ma group ya kilimo wats ap ani add kwa namba hii 0717113999 na kama hamna vp kama tutaanzisha group itakua rahs zaid kusaidiana na kupata changamoto na mafunzo meng zaid kwa haraka kuliko hapa... Ni ushaur tu wanajamii
Kilimo kina faida na hasar niliuza viwanj kulima tikit mwaka huu mwez wa kwanza ila nilirowesha ekar mbil na gharama zilizo tumika km mil 3 LAK 4 na sikupata kitu na mwez wa tano nkalima yakaivia kwenye mafuriko nimeuza buku kwa jero hatar
Na sijakata tamaa nshaanda shamba nshalima nataka kueka samad tareh 15 mwez huu napnda et
 

Similar Discussions

99 Reactions
Reply
Back
Top Bottom