kisoi hardware
Member
- Jan 27, 2017
- 61
- 33
habari zenu wakuu naitaji msaada wa kulima matikiti nijue mbegu bora soko lake na changamoto zake na jinsi ya kukabiliano nayo ardhi inayofaa kulima MATIKITI MAJI cuz nmesikia ukilima vizur pesa yake sio ya nchi hii nina SHAMBA EKA MBILI LIPO ENEO LA MVUTI ILA LINA MTELEMKO je linafaa kulima matikiti nipeni maujuzi