Ngozi Joram
JF-Expert Member
- Sep 9, 2016
- 659
- 543
Acha tu. Japo faida na hasara vyote vinawezekana.Duh ! tunashukuru kwa mrejesho.. kumbe mambo sio rahisi kama nilivofikiri
Sent from my iPhone6 using JamiiForums mobile app
Hii ni nzuri zaidiWell said mkuu, mm natumia strategy hii nimeingia makubaliano na mtu ana watu wake wanasimamia project malipo ni baada ya kuvuna na kila week lazima niende kukagua maendeleo ya shamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni nzuri zaidi
ploudly ngosha
Kwa wastani ekari moja inaweza kuwa na miche mingapi ya matikiti? Na mche mmoja wa tikiti unaweza kutoa matikiti mangapi??
NIMELIMA ARUSHA, MAENEO YANAITWA NDURUMA, KWA WENYEJI WA ARUSHA WANAFAHAM KULE NDO MASHAMBA YALIPOUlikua unalimia wapi mkuu
ndio kwa trekta, kwani unaona ndogo hiyoKulima heka moja tsh, 30000 ?