mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,204
- 48,983
Unajitakia umasikini tu na hayo matikiti.Asante sana kwa Uzi mzuri kama huu, natarajia mwezi wa 12 nami nianze hiki kilimo, lakini mwezi wa 12 ni msimu wa mvua Je nilime tu au niache kwanza?
Unajitakia umasikini tu na hayo matikiti.Asante sana kwa Uzi mzuri kama huu, natarajia mwezi wa 12 nami nianze hiki kilimo, lakini mwezi wa 12 ni msimu wa mvua Je nilime tu au niache kwanza?
Acha tu mkuu mvua ikizd na tikit limefika kipnd cha kukomaaa linapasuka.Asante sana kwa Uzi mzuri kama huu, natarajia mwezi wa 12 nami nianze hiki kilimo, lakini mwezi wa 12 ni msimu wa mvua Je nilime tu au niache kwanza?
Watu wamekuwa na uoga wa kulima kipindi cha Mvua matikiti. Mimi nimelima padogo, nataka nijionee, naamini hata yakipasuka hayatapasuka yote. Nitapata tu. Kama kulima wewe lima Mkuu, tusijenge uoga kikubwa kumbuka kuweka majani makavu chini ya kila tikiti, majani yawe mengi kidogo. Utapata matikiti. Nimepanda juzi, nitakujaleta mrejesho hapa February.2021.Asante sana kwa Uzi mzuri kama huu, natarajia mwezi wa 12 nami nianze hiki kilimo, lakini mwezi wa 12 ni msimu wa mvua Je nilime tu au niache kwanza?
Watu wamekuwa na uoga wa kulima kipindi cha Mvua matikiti. Mimi nimelima padogo, nataka nijionee, naamini hata yakipasuka hayatapasuka yote. Nitapata tu. Kama kulima wewe lima Mkuu, tusijenge uoga kikubwa kumbuka kuweka majani makavu chini ya kila tikiti, majani yawe mengi kidogo. Utapata matikiti. Nimepanda juzi, nitakujaleta mrejesho hapa February.2021.
Kama yanapasuka Kwa sababu ya maji kuwa mengi ( mvua). Kuwa na utaratibu wa kupulizia OMEX Cal Max. Kazi yake ni kufanya ngozi ya juu ya tikiti kuwa nguma na kuhimili wingi WA maji. Na kuzui kupasuka.Wengi huwa hawaleti mrejesho kama wanavyosema. Sijui ndo wakishapigwa wanapoteana kabisa! Ngoja tukusubiri hiyo February.
Nitakuja, kuleta mrejesho Mkuu. Ukiona kimya nikumbushe hapahapa.Wengi huwa hawaleti mrejesho kama wanavyosema. Sijui ndo wakishapigwa wanapoteana kabisa! Ngoja tukusubiri hiyo February.
Ahsante Mkuu, hii unaitumia kipindi matunda yametoka si ndiyo?Kama yanapasuka Kwa sababu ya maji kuwa mengi ( mvua). Kuwa na utaratibu wa kupulizia OMEX Cal Max. Kazi yake ni kufanya ngozi ya juu ya tikiti kuwa nguma na kuhimili wingi WA maji. Na kuzui kupasuka.
Mkuu niombe unisaidie kampuni inayosambaza hapa Tanzania maana nimejaribu kuitafuta mtandaoni sijaona kwa Tanzania.Kama yanapasuka Kwa sababu ya maji kuwa mengi ( mvua). Kuwa na utaratibu wa kupulizia OMEX Cal Max. Kazi yake ni kufanya ngozi ya juu ya tikiti kuwa nguma na kuhimili wingi WA maji. Na kuzui kupasuka.
Pole, nimechelewa Sana kuiona post yako. Nipo Dar es salaam, kariakoo zimejaa. Kampuni wanayosambaza siijui. Ila kama Una MTU muaagize akuchukulieMkuu niombe unisaidie kampuni inayosambaza hapa Tanzania maana nimejaribu kuitafuta mtandaoni sijaona kwa Tanzania.
Mkuu February ndio hii vipi mrejesho?Watu wamekuwa na uoga wa kulima kipindi cha Mvua matikiti. Mimi nimelima padogo, nataka nijionee, naamini hata yakipasuka hayatapasuka yote. Nitapata tu. Kama kulima wewe lima Mkuu, tusijenge uoga kikubwa kumbuka kuweka majani makavu chini ya kila tikiti, majani yawe mengi kidogo. Utapata matikiti. Nimepanda juzi, nitakujaleta mrejesho hapa February.2021.
Unapotoa ndipo unarudisha mara tatu au nne ya kile ulichotoa ila tu inahitaji kujipanga kwa pesa katika kilimo hiki cha matiki maji pesa ni ndefu ila mimi ni mkulima ila ninalima bamia na mipapai tu ndio ninayoiweza kwa mimi tu!!Kila la kheri. Matikiti ukiyapatia utafurahi.
Kuna mtu alilia huku kitaa.
Unapotoa ndipo unarudisha mara tatu au nne ya kile ulichotoa ila tu inahitaji kujipanga kwa pesa katika kilimo hiki cha matiki maji pesa ni ndefu ila mimi ni mkulima ila ninalima bamia na mipapai tu ndio ninayoiweza kwa mimi tu!!
Mkuu, kwanza nikupe hongera kwa umakini ulionao. Kwakuwa niliahidi kuleta mrejesho hapa, leo nimeona ndiyo siku muafaka ya kuleta maana nilikuwa sijafunga shughuli rasmi (kuvuna).Mkuu February ndio hii vipi mrejesho?
Ulipata faida sh. Ngapi na mtaji ulikuwa sh. ngapi.Katika Mbegu hizo nimepata matikiti 1300 makubwa, naamini sijafeli maana sikuwa na mwalimu wa kuniongoza.
Safari ijayo nitarealize full potential.