Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Uzi mzuri sana huu...
Mbegu fupi zipo nyingi sana sokoni hasa mm nilinunua mwanza nimeanza nimiche 100 sasa imefikia kwenye mauwaMbegu hizo zilikuwa nyingi sana Mpwapwa, sijui kwa sasa. Lakini ukikosa, anza na hizi za kawaida, ukipata hizo fupi unaendelea.
Mkuu kilimo kinalipa sana ila kinahitaji uvumilivu, mimi naweka mambo sawa nikimaliza najikita kwenye kilomo maana huko watu wa kodi hawasumbui na mazao (unprocessed) hayana kodi.
Naomba ushauri wako Kaka. Nimepanda miti ya mipapai ....... Bahati mbaya eneo lina mchwa Sana. Nini mbadala wa kupulizia zile dawa sumu za wadudu za madukani??? Nimeambiwa nikimwagia majivu karibu na mizizi Itasaidia.expand...
Nadhani nikama hizi hapaJuzikati nilikuwa Nzega mjini, wakati nasubiri mhudumu wa ofisi ya M-pesa afike nikawa naangaza macho, nikamuona jamaa anashusha tenga la mapapai makubwa ajabu kutoka kwenye basikeli. Sikuvumilia, nikamsogelea na kumuuliza
mbegu alizipata wapi, akasema yeye alikula papai akamwaga mbegu zake na matokeo ndiyo hayo.
Kusema kweli papai zile zina ukubwa wa kufikia kilo 7 hivi kwa kukadilia, ulefu wake haupungui futi moja na nusu na unene wa chini kama inchi 8 hivi.(niko vizuri kwenye kukadilia)
Kwa namna lilivyo, nusu tu inatosha kuliwa na familia ya watu sita. Papai ninaloliona hapo kwenye miti yako Mohamed, kwa sasa hapa Dar ni kama Tshs.1000/=. Ninalozungumzia, changanya hayo matatu na nusu ndiyo unapata moja, pengine kuliuza inaweza kuwa tabu kidogo.
Linavunwa baada ya miezi sita mfululizo mpaka miaka mitatu.Hivi papai hadi linapovunwa muda gani?
We jamaa umeanzisha nyuzi nyingi sana, halafu watu wakikuuliza maswali haujibu humu unataka mtu apige simu. Una kila dalili ya kuitwa tapeli. Ukiendelea hivyo inabidi tuombe msaada kwa Mod wakupige ban. Kama kweli kwanini usiwe unajibu maswali humu?Je unahitaji kulima mahindi na hauna muda wa kusimamia? Au unataka upate mavuno mengi zaidi? Njoo ofisini kwetu.
Ofisi ya YAD yenye wataalamu wabobezi wa kilimo sasa inakuletea mpango wa kusimamia shughuli zote za shambani. Mkulima utatukabidhi shughuli zako pale shambani kwako sisi tutafanya kila kitu kwa utaalamu zaidi na kukukabidhi mazao yako yakiwa yamekomaa. Gharama zetu ni nafuu sana na tunakuhakikishia kwa ekari moja kuvuna mahindi zaidi ya gunia 30. Usihangaike sasa, sisi tupo kwa ajili yako, Kwa Wale ambao hawana mashamba tutakuwezesha kupata mashamba ya kukodi kwa elfu 40 tu na mashamba ya kununua kwa elfu 60 tu hata ukihitaji ekari 100 za kununua utazipata kwa bei hiyo hiyo.
Kwa maelezo zaidi fika ofisini kwetu.
Jengo la NSSF SONGEA
Ghorofa ya 3 chumba no. 317
Simu. 0621133117
Maswali yote yamejibiwaWe jamaa umeanzisha nyuzi nyingi sana, halafu watu wakikuuliza maswali haujibu humu unataka mtu apige simu. Una kila dalili ya kuitwa tapeli. Ukiendelea hivyo inabidi tuombe msaada kwa Mod wakupige ban. Kama kweli kwanini usiwe unajibu maswali humu?
Sio kweli, uzi wa mwezi wa tisa huo. Mtu kauliza ukampuuzia. Kitendo cha kujibu maswali na kujibu kwa ufasaha hua kinampa Imani mteja kwasababu kinatoa wasiwasi aliokuwa naoMaswali yote yamejibiwa
Nataka kupanda Miche, je naweza tembelea shamba lako kujifunza. Asante kwa kunipa moyo wa kulima papaiNipo kiluvya dsm ,nalima Papai na nauza Miche 0655404226View attachment 801171
Je hilo kundi najiungaje?THE HORTICULTURISTS
Jiunge kwenye kundi letu la whatsap tujadili mada mbali mbali kuhusu kilimo.
Kutana na wataalamu upatiwe majibu ya maswali yako kuhusu kilimo.
Mimi nipo tanga Mjini Sahare ninayo miche ya mbegu fupi ya mipapai ninauza kwa wale wa tanga na maeneo ya karibu nami mche 1 @ shilingi 2,000/= ya miezi sita nipigie kwa yeyote anayehitaji namba 0675434328.Nipo Tanga, mbegu nitapata wapi?
Umethubutu mkuu, hongera sana wengi humu tunalimia maneno.Walau picha zitaongea sana hapa.
Maswali unaweza kunisms whatsup
0714600575 au sms ya kawaida 0620598113. Usipige tafadhali au labda ukisms nikiruhusu.View attachment 1642776View attachment 1642777View attachment 1642778