doctordrew
Member
- Apr 26, 2020
- 63
- 29
Habari wakuu?
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Arusha lakini napenda kujihusisha sana na kilimo. Ni wapi mkoa wa Arusha naweza kufanya kilimo cha umwagiliaji cha maharage ya njano?
Kwenye mashamba ya kukodisha. Yeyote mwenye kujua vizuri naomba nipe details.
Mimi ni mwanafunzi wa Chuo Arusha lakini napenda kujihusisha sana na kilimo. Ni wapi mkoa wa Arusha naweza kufanya kilimo cha umwagiliaji cha maharage ya njano?
Kwenye mashamba ya kukodisha. Yeyote mwenye kujua vizuri naomba nipe details.