One point five kilometa sio mbali, tafuta mkokoteni wa kuchukua kiasi cha lita 200 kwa safari moja. Kama hukai shambani jenga kibanda weka mtu ambaye utakuwa unamlipa kiasi utakachoelewana nae, kazi yk inakuwa kunyweshea miti yk na kutunza shamba kwa ujumla. It works mi natumia hy kwa shamba la mananasi