Kilimo cha kisasa cha maembe

One point five kilometa sio mbali, tafuta mkokoteni wa kuchukua kiasi cha lita 200 kwa safari moja. Kama hukai shambani jenga kibanda weka mtu ambaye utakuwa unamlipa kiasi utakachoelewana nae, kazi yk inakuwa kunyweshea miti yk na kutunza shamba kwa ujumla. It works mi natumia hy kwa shamba la mananasi
 
Kuna shamba la miche la serikali pale visiga karibu na mlandizi, 2500 kwa mche, aina zote zipo
 
Hivi hectre 1 ya miche ya maembe inachukua maji kiasi gani na unamwagilia kwa muda gani nikiwa nina maana mfano miaka 2 au mingapi.
 
Mwenzenu nimeamua kujaribu kilimo maeneo ya Mkuranga na nimepanga kupanda miembe huko. Sasa natafuta mahali ambapo ninaweza kupata miembe na michungwa bora ya muda mfupi ambayo haijachakachuliwa.

Nimeshaambiwa na baadhi ya watu kwamba niende Morogoro, lakini nafikiri huko ni mbali sana. Naomba kujua kama ninaweza kupata hii miche hapa maeneo ya Dar es salaam.
 
Ungekuwa mitaa ya Moshi au Arusha ningekusaidia mkuu, kwa zone hiyo sina mtu,, pole mkuu, wadau wanakuja watakusaidia... hongera kwa ujasiria mali maana ajira zimekuwa wizi mtupu,,,,
 
ungekuwa mitaa ya moshi au arusha ningekusaidia mkuu, kwa zone hiyo sina mtu,, pole mkuu, wadau wanakuja watakusaidia... hongera kwa ujasiria mali maana ajira zimekuwa wizi mtupu,,,,
Nashukuru sana mkuu kwa utayari wako kunisaidia. Ngoja niendelee kungoja labda atajitokeza mmojawapo anayejua.
 
Nashukuru sana mkuu kwa utayari wako kunisaidia. Ngoja niendelee kungoja labda atajitokeza mmojawapo anayejua.

kama ni miembe ya muda mfupi na michungwa hauna ujanja nenda SUA,pale kwanza ni uhakika na utapewa maelekezo ya ziada namna ya kuyahudumia miche kitaalamu..nimepanda mimi iyo miche ina maembe matamu sana,na wanakufundisha kupandishia mche mmoja unaweza toa aina tofauti za matunda tena mengi hadi mche unazidiwa.
 
Nenda Mombo pale,tanga iseeh kuna miche ya maembe ambayo after 2yrs unakula embe,alafu mazuri sana ile miembe..
 
kama ni miembe ya muda mfupi na michungwa hauna ujanja nenda SUA,pale kwanza ni uhakika na utapewa maelekezo ya ziada namna ya kuyahudumia miche kitaalamu..nimepanda mimi iyo miche ina maembe matamu sana,na wanakufundisha kupandishia mche mmoja unaweza toa aina tofauti za matunda tena mengi hadi mche unazidiwa.
Wengi wamenambia miche bora inapatikana SUA. Lakini naona King Kong anasema hata pale maliasilia naweza kupata. Labda nijaribu kwanza hapo. Hope hawachakachui.
 
Mkuu salama<

Mkuranga ipo miche bora mingi sana. Nenda Mkuranga agriculture Research Sub station ipo about 4 kilometer kutoka Mkuranga main stand.

Ukikosa hapo mkuranga kata ya Tambani kijiji cha Kibamba kuna Bustani kubwa ya miche ya embe na Machungwa utapata

ukikosa hapo Nenda Kibiti kuna kikundi cha wakulima bora (QDS certified) wanaitwa Rufiji Environmental group (REG) wana miche zaidi ya 30,000 na wanavarieties zaidi ya 10.
 
Nasikia hata bakheressa naye huwa anachukua maembe kwa wingi kwa ajili ya usindikaji na kutengeneza juisi za azam, ila sijui procedure ya kupata maelezo kamili juu ya hili. Nakushauri jaribu kutembelea kampuni yake dar kwa maelezo zaidi
 
Back
Top Bottom