Bado Niko Kandete Mwakaleli kwa Lebi Mwakatobenilishakula sana hizo udogoni, tulikuwa tunaziita karanga miti. sasa uyu jamaa anayeamka leo kusema zinapatikana mbeya/tukuyu peke yake sijui katoka lini mwakaleli kuja mjini?
Ni zao la faida sana, hapa sua kuna research inaendelea, kujaribu kuibebesha , yaan grafting ili tuweze kupata aina ya miche ya kitaalam ambayo itazaa kwa muda mfupi zaidi, katika kimo kifupi na kuvumilia hali yha joto kidogo,
Ungeenda zaidi na kusema zinapatikana wapi kwingine kuwaelimisha wengine.aliyekudanganya kuwa zinapatikana mbeya tu ni nani? wanyakyusa mbona kama mmelogwa vile kwa masifa?
Sibonike asante sana. Unayafahamu mangubwisya?Ungeenda zaidi na kusema zinapatikana wapi kwingine kuwaelimisha wengine.
Tanzania nzima maeneo yenye ubichiubichi. ukienda bukoba/kagera, Dabaga Iringa, Tukuyu, Lushoto, maeneo mengi ya mkoa wa kilimanjaro, biharamuro etc. kwa wale walioishi maeneo hayo kama hawazijui karanga miti itakuwa ajabu.Ungeenda zaidi na kusema zinapatikana wapi kwingine kuwaelimisha wengine.
Scientific classificationMkuu mshana jr: je naweza fahamu "botanical name" ya huo mti?
Kilimo cha Macadamia (karanga pori)Tanzania nzima maeneo yenye ubichiubichi. ukienda bukoba/kagera, Dabaga Iringa, Tukuyu, Lushoto, maeneo mengi ya mkoa wa kilimanjaro, biharamuro etc. kwa wale walioishi maeneo hayo kama hawazijui karanga miti itakuwa ajabu.
Ndilolo khange kutusanganya kekolo!ndilolo
Mkuu nataka ingia with both feet maana niko na eka kama tano nataka tupia huu mmea maana ndo Pension yenyewe hii na inalipa kuliko hawa jamaa wa fao la kujitoaMkuu kama una Macadamia basi tuwasiliane.
Soko lipo ndugu yangu.