Lifahamu zao la Macadamia (Karanga Pori) na jinsi ya kulilima

Sizifahamu hizo nuts. Hata hivyo, nimefanya utafiti wa haraka haraka na nimeona, kama ni mjasiriamali wa agribusiness with limited resources na unafikiria ni wapi uwekeze kati ya macadamia nuts na cashews, basi wekeza kwenye cashew nuts.
 
Funguka zaidi mkuu kuhusu ili zao,
Alafu hao wa kenya waache ungesengese wao wa kulalamika mbona wao wanatorosha tanzanite yetu na wanaipa nembo yao?na mpaka wamemtorosha MRISHO MPOTO wetu sasa wanamtumia kule kwa obama kama muwakilishi wao wa kiswahili?
halafu mrisho Mpoto yuko kwenye lile kundi linalozunguka kuzungumzia uzalendo wakati yeye mwenyewe sio mzalendo
 
Macadamia (Karanga za mtini) 100grm - Tshs 21,000 Village supermarket, Masaki -Dar.
Kazi kwenu watu wa Lushoto na nchi za nje Tukuyu.

macada.jpg
 
Macadamia nut farmers getting robbed



SATURDAY JUNE 9 2012





nuts.jpg

Casual workers load raw nuts into a container for export. Picture: File

ADVERTISEMENT
By CATHERINE RIUNGU
Kenya has sounded the alarm over the smuggling of its macadamia nuts to Tanzania and China, costing the country an estimated Ksh10 billion ($118 million) and thousands of jobs.

The loss is affecting the production of the nuts as farmers have to contend with theft of produce as unscrupulous dealers cash in on the high demand.

“A kilo of raw nuts is fetching about Ksh80 ($0.94 cents) at farm gate, and thieves are raiding farms at night, especially in Central Kenya. When shipped out of the country, the same quantity attracts Ksh500 ($5) a kilo, while the processed product fetches close to Ksh1,000 ($12) a kilo,” said James Arim, Horticultural Crops Development Authority (HCDA) general manager in charge of technical services.

Mr Arim has been leading a team comprised of authority officials and police to arrest culprits over the past two months.

Despite a move by the government to license brokers and control harvesting of macadamia nuts to monitor trade in the produce, unlicensed dealers have resorted to unorthodox practices to keep themselves in business, doing everything possible even moving the produce at night.

According to HCDA, the country is losing an estimated Ksh10 billion ($118 million) annually to counterfeiters who are hiding tonnes of nuts in illegal warehouses in Mombasa for the lucrative illicit trade.

The authority charges that several containers of unprocessed nuts are exported illegally through the port of Mombasa or carted on road to border points into Tanzania where they are processed and exported as Tanzanian produce, costing the country an additional loss of 3,000 jobs and discouraging development of a product that has potential to more than double earnings to Ksh20 billion ($236 million) annually.

The recently formulated Kenya Nuts Council now wants government bodies directly responsible for licensing, regulating and inspecting exports — notably the HCDA, Kenya Ports Authority and the Kenya Revenue Authority — to take responsibility, and has taken the institutions to court for negligence.

Last week, the institutions held a meeting in Nakuru, west of Nairobi, to deliberate on the possibility of a change in law to include impounding the illegal produce, deregistration of firms found engaging in the malpractice among a raft of other punitive measures.

“We are looking to impound products and deregister offending firms to send a strong message to smugglers that their days are numbered,” said a source who requested for anonymity, and intimated that the nuts council case could see heads rolling because dubious companies had been registered despite the rules stipulating the conditions under which a firm can be licensed as a nuts exporter.

A week ago, officials from HCDA which now controls production and trade in macadamia raided a warehouse in Mombasa holding 5,000 bags with a value of Ksh20 million ($236,114). The contraband is believed to belong to unlicensed Chinese traders for illegal export through Mombasa port, Lunga Lunga, Vanga and Bolo points on the border with Tanzania. It is suspected that there are about 7,500 metric tonnes of unprocessed nuts hidden in Mombasa warehouses waiting to be shipped out of the country, contrary to the law that prohibits trade in raw produce.
 
zinaitwaje kwa kiswahili, mie kama kuna mtu anajua wapi nitapata mbegu za almond aka lozi tafadhani anipm
 
Macadamia inatoa mbegu za mafuta kama ilivyo korosho. Hizo mbegu zinahitajika sana kwa watengenezaji wa chocolate vile vile unaweza kukamua mafuta na ubora wake ni sawa na mafuta ya mizeituni (olive oil). Bei ya Roasted and salted Macadamia Nuts kule Australia naona ni $18. Kule Kenya naona wanalamika utoroshwaji wa Macadamia kuja Tanzania kutayarishwa kwa kusafirisha nje.

Upekuzi zaidi unasema macadamia yanastawi sehemu ambazo avocado, mapapai, na ndizi hustawi. Wakulima wengi wa kenya wanang'oa kahawa ili kupanda macadamia.
Hapo Mkoa wa Kagera inawahusu
 
Hatimaye nimempata mhusika wa hii kitu, hawa jamaa wana miche kule Mbozi, kila mche ni Tsh 4,000/, miche hii ni grafted na inatazamiwa kuzaa baada ya miaka minne tangu kuoteshwa. Wao wanachukua vikonyo kule Rungwe juu kwa yule jamaa wa parachichi.
Simu kanipa, ila ukitaka njoo pm, si vizuri kuweka public.
Naomba namba ya huyo mhusika natamani kulima zao hili
 
Mimi nimechukua miche michache kwa ajiri ya kujaribu kwenye maeneo ya kisarawe.

Mkuu Nimeufuatilia Huu uzi tangu mwanzo mpaka hapa ulipo fikia na nimevutika na aina hii ya uwekezaji, Sasa nilikua naomba Mrejesho wa ile miche uliyochukua na kwenda kuipanda Kisarawe (Tangu umepandisha uzi huu ni Takribani miaka sita imepita, muda ambao ni tayari kwa mavuno ya Macadamia) naomba mrejesho maana na mimi nina kaeneo kangu kama ka ekari kumi huko huko kisarawe. [HASHTAG]#Kama[/HASHTAG] mnataka mali, Mtaipata Shambani.
 
Macadamia Mbinga yapo nimeenda vijijini wakanipa ndoo nzima niondoke nayo.
Wao hawayatumii wala hawahangaiki kuyatunza yalipandwa na mababu tangu ukoloni.
 
Kwa kule kwetu macadamia huitwa vinazi, kabla hazija komaa ukila lile ganda la njee linakuwa na ukakasi na ukipasua sasa lile ganda gumu huwa ndo unaikuta nazi yenyewe, ukila nyingi ikiwa bado haijakomaa zina nyonga kama zambarau, lakini zikiwa zimekomaa na kukauka huwezi kula ganda la njee kwa maana linakua limekauka na nilazima utumie jiwe kupasua ili upate nazi yenyewe, tumeyala sana kwenye mashamba ya wazungu ndo huko yalipokuwa yapo, majani ya huu mti yana kama miba miba na hufanana sana kama mi hashoki jike kama sijakosea, yenyewe hainyooki ikiwa inakua bali inachanua, na ilikua imepandwa karibu karibu katikati ya mashamba ya kahawa,binafsi nilijua na matunda pori kumbe ni dili namna hii! Na waliyo na mashamba hayo kwa sasa sidhani kama ile miti wanajua maana yake,​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom