jokapangoni
Member
- Aug 31, 2011
- 33
- 25
Mkuu ni mbogamboga gani naweza nikalima kwa kutumia maji ya Kisima lakini yana chumvi?Ni kweli kabisa mkuu, hiyo ndiyo changamoto ya kutotumia dripping
joka
Mkuu ni mbogamboga gani naweza nikalima kwa kutumia maji ya Kisima lakini yana chumvi?Ni kweli kabisa mkuu, hiyo ndiyo changamoto ya kutotumia dripping
Ninachofahamu kwa uelewa wangu mdogo ni kwamba maji ya chumvi unapoyatumia kwenye kilimo inaweza kupelekea kunyonywa maji kwa mmea (dehydration) na inapelekea mmea kusinyaa..Mkuu ni mbogamboga gani naweza nikalima kwa kutumia maji ya Kisima lakini yana chumvi?
joka
Yaah.Ni kweli kabisa mkuu, hiyo ndiyo changamoto ya kutotumia dripping
Yaah,Ni kweli kabisa mkuu, hiyo ndiyo changamoto ya kutotumia dripping
Lazima hayo maji ya pimwe kwanza ili kupata kiwango cha floraidi iliopo hapo.Mkuu ni mbogamboga gani naweza nikalima kwa kutumia maji ya Kisima lakini yana chumvi?
joka
uku zao labiashara ni mengi.Mkuu Noelly nashukuru kwa darasa lako zuri. Naomba kujua kama Arusha yanapatikana maharage ya Soya na Kidney beans. Pia kuna jamii ya kunde inaitwa black matpe, sijui kwa kiswahili ni nini. Ni mazao gani mengine ya biashara yanayostawi huko tofauti na maharage?
Sent using Jamii Forums mobile app
uku zao labiashara ni mengi.Mkuu Noelly nashukuru kwa darasa lako zuri. Naomba kujua kama Arusha yanapatikana maharage ya Soya na Kidney beans. Pia kuna jamii ya kunde inaitwa black matpe, sijui kwa kiswahili ni nini. Ni mazao gani mengine ya biashara yanayostawi huko tofauti na maharage?
Sent using Jamii Forums mobile app
uku zao labiashara ni mengi.Mkuu Noelly nashukuru kwa darasa lako zuri. Naomba kujua kama Arusha yanapatikana maharage ya Soya na Kidney beans. Pia kuna jamii ya kunde inaitwa black matpe, sijui kwa kiswahili ni nini. Ni mazao gani mengine ya biashara yanayostawi huko tofauti na maharage?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ni maarage machanga yana julikana kama Green bense...karibu kama unamaswali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeandika zinaitwa "Green bense", nakuuliza hilo jina ni "bense" siyo beans?
Tatizo lipo kwenye kutamka wengine wanatamka beans wengine wanatamka beanse.Umeandika zinaitwa "Green bense", nakuuliza hilo jina ni "bense" siyo beans?
Bibie na wewe huishiwi vituko tu? Hebu acha tujifunze bhanaUmeandika zinaitwa "Green bense", nakuuliza hilo jina ni "bense" siyo beans?
Naona hapo umetumia drop irrigation, je shamba hilo lina ukubwa gani? Je ni sh ngapi kufunga drop irrigation system kwa shamba kama hilo? Chanzo cha maji hapo ni kipi? Ahsantendio kama havyo unavyoona katika utaalama wa kisasa kabisa hata ww ukitaka kulima hivi unaweza kabisa uliza maswali upate ushauri karibu sana Mtazania mwenzangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajifunza bense au beans?Bibie na wewe huishiwi vituko tu? Hebu acha tujifunze bhana
Tatizo lipo kwenye kutamka wengine wanatamka beans wengine wanatamka beanse.
yote hii nikuwa na miss speling. Asanthe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mhariri ila usituharibie uzi muache mtaalam aendelee kutoa elimu ya bure kabisaUnajifunza bense au beans?