Kilimo cha kisasa twende pamoja nikujuze mengi kuusu hii technology..

ukitumia Starter yake uwa inasumbua mara kwa mara kupeleka kwa fundi,
ndio maana nimeitoa ikabaki uchi.
ila natumia kamaba ngumu one kick inawaka.
pia ukiwa na 3.5 amabayo ni nch 2 pipe inafanya ila pasiwe na mlima mkali kutoka kwenye chanzo.
na pia ukitaka ku systim mafundi watakuelekeza pump yakutumia kutokana na eneo unalo tumia.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee! Mkuu nimewahi kutumia pump kila mara napeleka kwa mafundi kutengeneza starter, mara inalika inakwisha , yani kazi kweli!


Sasa mkuu unaweza kunipa mbadala wa kutumia bila starter?


Samahani kwa kutoka nje ya mjadala mkuu.


Asante
 
Aisee! Mkuu nimewahi kutumia pump kila mara napeleka kwa mafundi kutengeneza starter, mara inalika inakwisha , yani kazi kweli!


Sasa mkuu unaweza kunipa mbadala wa kutumia bila starter?


Samahani kwa kutoka nje ya mjadala mkuu.


Asante
Pole sana ngoja, nikiwa karibu ya mashine nitakuonesha cha kufanya na utaondokana na tatizo hilo Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana ngoja, nikiwa karibu ya mashine nitakuonesha cha kufanya na utaondokana na tatizo hilo Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
8615b054dd4fb9f2a1f6f64f27d1e4be.jpg

cae215f1a690024ddca78579488aa763.jpg
 
Sasa unachotakiwa kufanya,
fungua hiyo auzini iliyo ficha uwo uzi au usubiri uzi ukikatika.
utoe hiyo auzini ibaki kama yangu alafu utafute manyila ngumu usokotee kwenye hiyo ringi yake.
one kick then endelea na kazi Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Pia kwa uwezo wa mashine yako kunyesha heka iliyokuwa systim kwa duble,
presha itakuwa pia ndogo japo itanyesha.
lazima utafute 5.0 angalau itakusaidia tena itakuwa na ufanisi mkubwa kama utoe maji mtoni.
kwa mfano mm natoa maji mtoni imapandisha mlima na presha yake inakaribia kupasua drip kwaiyo ushari wangu ukifikia ku systim tumia pump ya nch 3.5 ambayo ni 5.0 itakizi shamba vzr zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa unachotakiwa kufanya,
fungua hiyo auzini iliyo ficha uwo uzi au usubiri uzi ukikatika.
utoe hiyo auzini ibaki kama yangu alafu utafute manyila ngumu usokotee kwenye hiyo ringi yake.
one kick then endelea na kazi Karibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee, sawa sawa mkuu nitafanya hivyo alafu nikupe mrejesho maana saa nyingine unavuta mpaka mara 5/6 ndio iwake! Hapo ushalowa jasho
 
Aisee, sawa sawa mkuu nitafanya hivyo alafu nikupe mrejesho maana saa nyingine unavuta mpaka mara 5/6 ndio iwake! Hapo ushalowa jasho
hapo kunaweza kuchangiwa na vitu viwili vikubwa.
1.ukiona hivyo angalia plag yako kama imejaa moshi uisugue na msasa iwe nyeupe.
2.Pia mda ulio tumia Plag yako ujue ili kujua kama imechoka ununue mpya.
___

3.pia ili mashine yako iwe safe mara kwa mara kuwa makini na Change Oil yako.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia kwa uwezo wa mashine yako kunyesha heka iliyokuwa systim kwa duble,
presha itakuwa pia ndogo japo itanyesha.
lazima utafute 5.0 angalau itakusaidia tena itakuwa na ufanisi mkubwa kama utoe maji mtoni.
kwa mfano mm natoa maji mtoni imapandisha mlima na presha yake inakaribia kupasua drip kwaiyo ushari wangu ukifikia ku systim tumia pump ya nch 3.5 ambayo ni 5.0 itakizi shamba vzr zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran sana mkuu, hii nilikuwa nanyeshea bustani ya mboga mboga nikafikiria kuanza kuitumia kwenye shamba kubwa zaidi ndiyo maana nikauliza kwanza kama itamudu.


Sasa mkuu pump kama yako naweza kuipata wapi na bei zipoje kwa sasa?! Brand hiyo hiyo ya Robin.


ASANTE
 
Shukran sana mkuu, hii nilikuwa nanyeshea bustani ya mboga mboga nikafikiria kuanza kuitumia kwenye shamba kubwa zaidi ndiyo maana nikauliza kwanza kama itamudu.


Sasa mkuu pump kama yako naweza kuipata wapi na bei zipoje kwa sasa?! Brand hiyo hiyo ya Robin.


ASANTE
upo wapi ww.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hapo kunaweza kuchangiwa na vitu viwili vikubwa.
1.ukiona hivyo angalia plag yako kama imejaa moshi uisugue na msasa iwe nyeupe.
2.Pia mda ulio tumia Plag yako ujue ili kujua kama imechoka ununue mpya.
___

3.pia ili mashine yako iwe safe mara kwa mara kuwa makini na Change Oil yako.


Sent using Jamii Forums mobile app
Oil nabadili mara kwa mara ila plug sijabadilisha kabisa asee
 
95e644894a7a6370d0d15309012ff839.jpg
e997aaa7f89f6f2fee14c6887a2dae0f.jpg
c7bae2df411e300f024c6fb3e74ffc99.jpg
.


ukiwa umejikita kwenye kilimo cha Drip systim faida unazo zipata.
1. shamba lako linakuwa jeupe wakati wote.
2 faida ya shamba kuwa jeupe ni
unapo weka mbolea shambani inakwenda kunye sehemu ulio kusudia ambayo ni kwenye mazao.
3.faida nyingine ni kuwa wadudu watakuwa wanawakati mgumu wakujificha wakati wakupiga dawa shambani kwako.
4.faida nyingine ukiwa unapiga dawa kwenye shamba lako,
dawa uwenda kwenye eneo lilo kusudiwa tofauti na kawaida unakuta unapambana na magugu mpaka unachoka kwa gharama ulioingiza shambani kutoka na kuzibiti magugu.kwaiyo wengine uacha magugu na wanapo piga dawa wana stawisha magugu na kuyalinda kwa dawa mara ukuta wanatumia dawa nyingi na kupotea.

Karibu tuwekeze kweye kilimo cha kisasa Asanthe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom