nimbagonza,
Nakubaliana na wewe 95.5% ila kwa Ruvu ningekushauri ulime mpunga utakulipa zaidi.
Nakubaliana na wewe 95.5% ila kwa Ruvu ningekushauri ulime mpunga utakulipa zaidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na wapi umelimia kuna mikoa ambayo ni lazima tu mahindi yatafika. Mvua yaweza kuwa pungufu misimu mingine ila si kwa kiasi cha kutokukomaza mahindi. Eneo hili linajumuisha sehemu kubwa ya mikoa ya nyanda za juu kusini kama mbeya, njombe, songea, iringa, songwe na rukwa.Kilimo cha mahindi inabidi ulime karibu na mto ili kama utatokea ukame unakodi pampu na unamwalia kama kawaida.
Kulima mbali na mto ni kupata au kukosa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mawasiliano yako tafadhari ili tuongeeKaribu Turiani mkuu tufanye kilimo cha umwagiliaji katika ardhi yenye rutuba na maji ya uhakika.
Pole sana aisee, wenzio bila hata mbolea tunapata gunia si chini 20 kwa hekari moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ilikua heka ngapi ?Nimevuna gunia 30 za mahindi msimu huu. Kwa kuwa bei imeshuka ya kuuza mahindi nawaza niyaweke dawa au nitumie njia gani nzuri kwenye kuyahifadhi.
Napenda maoni yenu wakuu kwani nimechelewa kuufatilia uzi huu.
Tutajiane na bei za viwatilifu hivyooo maana ss wa vijijini tukienda mjini huwa tunapigwa sana bei.
Heka 3 na nusu. Na mvua zilikuwa nyingi mashamba mengi yalizama kwenye maji.
Ila changamoto kwenye bei imenifanya nisiuze mahindi. Nitulie tuu hadi wakat wa mwez wa 10
Umeshakosea. Waliolima na kupanda toka mvua za mwanzoni za vuli yaani novemba wanavuna sasa au mwezi ujao. Gunia ya mahindi ya kilo 100 haipungui laki moja huko huko shamba. Unajua kilimo ni kamari? halafu ama jirani zako na wenyeji hawalimi watavuna kwako mfano wa nyani. N wanavizia na kuvuna yale makubwa hahaha. Hao hao unaowachukua kupalilia kupanda nkcwatavuna. Niamini
Ni kweli kabisa.Biashara nzuri ni kununua Mazao toka kwa wakulima wakati wa mavuno na kuuza wakati wa soko zuri.
Binafsi sitolima ki biashara, nimeshapata hasara Sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna nilipoandika hivyo mkuuWastani gunia 10 kwa eka?!!! Unalimia wapi ndugu tukusaidie mawazo. Hicho ni kilimo cha hasara.
Sent using Jamii Forums mobile app