mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,789
- 105,899
Juani tu....ila kuna wengine wanakausha kwa kutumia moto wa kuni ila ukiwa mjanja utaijua tu maana inababukaHiliki inatakiwa ikauke kwa kubembelezwa chini ya mti
Maana wanajiweka iriki juu ya bati moto kwa mbali uko chini yake wakaushaji hao huwa wanataka hela ya fasta...
Juani iriki inachkua siku3 kukauka jua likiwepo lkn kali
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app