Kilimo cha dengu

Bwana Mpanzi

Senior Member
Jun 28, 2019
180
165
Moja ya mambo ambayo Tanzania huwa hayatangazwi Au kutembea kwa habari zake kwa kasi ni kilimo cha dengu, ngoja nianze kwa sababu kadhaa, ni eneo dogo la nchi linalolima dengu ila huhitaji wake bado upo, twenzetu....

1/ Hakihitaji maji wala mvua yaani unaweza lima kwa kutegemea umande tu hii ni kutokana na namna mbegu ilivyojiandaa na kuepukana na changamoto za magonjwa hasa ya fangasi.

2/ Soko lake bado lipo,unaweza kucomment bei ya huko ulipo kwa sasa,bei ni 2000-4000 tsh Tanzania hii itatofautiana na maeneo ila bei ipo.

3/ Gharama za uendeshwaji wa shamba ni ndogo sana labda kikubwa ni mbegu ila mengine ikizingatiwa magonjwa na changamoto za wadudu ni ndogo sana.

4/ Wengi hawalifahamu wanafahamu bidhaa ya dengu ila 80% ya watanzania Dengu hawaijui au mmea wenyewe unaonekanaje na hivyo kufanya nafasi ya kupenya kwa sehemu uliyopo.

5/ Zao la pili yaani ukitoa zao linalovumilia mvua za mwaka ndio huwekwa mfano mpunga ukishavuna unageuza ardhi unamwaga Dengu zako.

Hizo hapo juu ni sababu chache kati ya zile nyingi zitakazofanya mtu asijilaumu kulima dengu.
Unaweza kuandika jumbe fupi.
0714600576/0620598113.
Kuhusu ushauri wa mimea/tabia za mimea.
Masoko na kilimo kwa ujumla.
Karibuni Morogoro.
20200709_161634.jpeg
 
Sio kwamba na utamaduni wetu unachagia maana Dengu sio mboga maarufu ukilinganisha na Maharage, au hata kunde mbaazi na choroko?.
 
Moja ya mambo ambayo Tanzania huwa hayatangazwi Au kutembea kwa habari zake kwa kasi ni kilimo cha dengu, ngoja nianze kwa sababu kadhaa, ni eneo dogo la nchi linalolima dengu ila huhitaji wake bado upo, twenzetu....

1/ Hakihitaji maji wala mvua yaani unaweza lima kwa kutegemea umande tu hii ni kutokana na namna mbegu ilivyojiandaa na kuepukana na changamoto za magonjwa hasa ya fangasi.

2/ Soko lake bado lipo,unaweza kucomment bei ya huko ulipo kwa sasa,bei ni 2000-4000 tsh Tanzania hii itatofautiana na maeneo ila bei ipo.

3/ Gharama za uendeshwaji wa shamba ni ndogo sana labda kikubwa ni mbegu ila mengine ikizingatiwa magonjwa na changamoto za wadudu ni ndogo sana.

4/ Wengi hawalifahamu wanafahamu bidhaa ya dengu ila 80% ya watanzania Dengu hawaijui au mmea wenyewe unaonekanaje na hivyo kufanya nafasi ya kupenya kwa sehemu uliyopo.

5/ Zao la pili yaani ukitoa zao linalovumilia mvua za mwaka ndio huwekwa mfano mpunga ukishavuna unageuza ardhi unamwaga Dengu zako.

Hizo hapo juu ni sababu chache kati ya zile nyingi zitakazofanya mtu asijilaumu kulima dengu.
Unaweza kuandika jumbe fupi.
0714600576/0620598113.
Kuhusu ushauri wa mimea/tabia za mimea.
Masoko na kilimo kwa ujumla.
Karibuni Morogoro.View attachment 1679443
Safi sana ni kilimo cha miezi mingapi na eka moja unatoa gunia ngap?
 
Moja ya mambo ambayo Tanzania huwa hayatangazwi Au kutembea kwa habari zake kwa kasi ni kilimo cha dengu, ngoja nianze kwa sababu kadhaa, ni eneo dogo la nchi linalolima dengu ila huhitaji wake bado upo, twenzetu....

1/ Hakihitaji maji wala mvua yaani unaweza lima kwa kutegemea umande tu hii ni kutokana na namna mbegu ilivyojiandaa na kuepukana na changamoto za magonjwa hasa ya fangasi.

2/ Soko lake bado lipo,unaweza kucomment bei ya huko ulipo kwa sasa,bei ni 2000-4000 tsh Tanzania hii itatofautiana na maeneo ila bei ipo.

3/ Gharama za uendeshwaji wa shamba ni ndogo sana labda kikubwa ni mbegu ila mengine ikizingatiwa magonjwa na changamoto za wadudu ni ndogo sana.

4/ Wengi hawalifahamu wanafahamu bidhaa ya dengu ila 80% ya watanzania Dengu hawaijui au mmea wenyewe unaonekanaje na hivyo kufanya nafasi ya kupenya kwa sehemu uliyopo.

5/ Zao la pili yaani ukitoa zao linalovumilia mvua za mwaka ndio huwekwa mfano mpunga ukishavuna unageuza ardhi unamwaga Dengu zako.

Hizo hapo juu ni sababu chache kati ya zile nyingi zitakazofanya mtu asijilaumu kulima dengu.
Unaweza kuandika jumbe fupi.
0714600576/0620598113.
Kuhusu ushauri wa mimea/tabia za mimea.
Masoko na kilimo kwa ujumla.
Karibuni Morogoro.View attachment 1679443
Asante sana naomba unisaidia yafuatayo

1.gharama ya kulima eka 1
2.mauzo ya ekari moja yakoje

Naweza tu kusema dengu ni kati ya zao lenye soko kubwa au naweza kusena kati ya mazao yanayoongoza kwa kununuliwa sana
 
Vyote viwili siwezi nikakuandikia maana kila kitu kinatofautiana na eneo so siwezi kukisia kulima kwa trekta mfano ni 40000 wakati kwenu ni 75000 hivyo kuhusu mchanganuo data za ziada zinahitajika
Asante sana naomba unisaidia yafuatayo

1.gharama ya kulima eka 1
2.mauzo ya ekari moja yakoje

Naweza tu kusema dengu ni kati ya zao lenye soko kubwa au naweza kusena kati ya mazao yanayoongoza kwa kununuliwa sana
 
Vyote viwili siwezi nikakuandikia maana kila kitu kinatofautiana na eneo so siwezi kukisia kulima kwa trekta mfano ni 40000 wakati kwenu ni 75000 hivyo kuhusu mchanganuo data za ziada zinahitajika
Asante sana naomba unisaidia yafuatayo

1.gharama ya kulima eka 1
2.mauzo ya ekari moja yakoje

Naweza tu kusema dengu ni kati ya zao lenye soko kubwa au naweza kusena kati ya mazao yanayoongoza kwa kununuliwa sana
 
Linapokuja suala la biashara ya mazao hauwezi mkimbia muhindi kokote Duniani na suala la biashara hawa jamaa tuwaache ni wakinga waliochangamka hawa jamaa
Tatizo la hayo mazao soko lakelitategemea hasa wahindi, wakizingua ndo basi tena. Mi nimelima miaka miwili sijalima tena
 
Si kwel dengu heka moja unaweza pata gunia 3 hadi 5 kwa heka tena ukipata ardhi nzr na ukapanda kwa ng'ombe dume unaweza pata hadi gunia 7.

dengu ni zao zuri sn coz halina stress mwaka juzi kdg ndio bei ilizingua but ni zao zuri coz linavumilia sn magonjwa haliitaji mvua wala mbolea wala parizi, haiitaji dawa kuifadhi kwake ghalani , bei ya mwaka jana mwisho ikifika 1500tsh kwa kilo na ulifanikiwa kuingiza kenya basi umepiga hatua coz dengu kule wanatengenezea biscuits . mie nina heka 20 ninajiandaa kulima mwezi wa tatu mwishoni huko babati
Duh mbona kidogo hivyo?
 
Umenena lililo Jema.
Ni kwamba dengu hulimwa mwisho wa msimu yaani April au May wengi hawajachelewa. Mbegu nzuri unaweza kuwasiliana na kituo cha tafiti Ukiliguru mapema sana. Wakulima kazi kwetu
Si kwel dengu heka moja unaweza pata dunia 3 hadi 5 kwa heka tena ukipata ardhi nzr na ukapanda kwa ng'ombe dume unaweza pata hadi gunia 7, dengu ni zao zuri sn coz halina stress mwaka juzi kdg ndio bei ilizingua but ni zao zuri coz linavumilia sn magonjwa haliitaji mvua wala mbolea wala parizi, haiitaji dawa kuifadhi kwake ghalani , bei ya mwaka jana mwisho ikifika 1500tsh kwa kilo na ulifanikiwa kuingiza kenya basi umepiga hatua coz dengu kule wanatengenezea biscuits . mie nina heka 20 ninajiandaa kulima mwezi wa tatu mwishoni huko babati
 
HABARI wakuu

SHAMBA+ ni mtandao unaotumia App, Whatsapp channel na SMS utakaokutanisha wadau wote wa kilimo ie Wakulima, Bwana shamba, wauzaji pembejeo na mbegu na madawa, na masoko ya bidhaa za kilimo. Kazi/dhumuni la huu mtandao ni : (i) Ushauri wa kilimo kutoka kwa agronomist - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia (ii) Maswali na majibu kati ya mkulima, Agronomist, wauzaji pembejeo - NI BURE kama unatumia WHATSAPP au APP, kama ni SMS utalipia (iii) Agronomist kuweza kuona maduka ya pembejeo/mbegu, wakulima mbalimbali na Agronomists wenzao wa mikoa mbalimbali na kuweza kuwasiliana na kujitangaza - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu (iv) Kuona masoko na kuwasiliana na wanunuzi wa mazao - NI BURE ila ni kwa kutumia APP NA WHATSAPP tu
 
habari wakuu....?
nimerahisisha kwa sasa unaweza kuingia kwenye hizo link ukajibu maswali ya survey kirahisi...

hii ni maalum kwaajili ya wakulima

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom