Kilimo cha Canola (Rapeseed) kinaweza kutupunguzia uhaba wa mafuta ya kula

SUA wana impact kubwa sana,mabwana shamba wengi Tanzania ni wa SUA,madaktari wanaotibu mifugo yetu Ni wa SUA,walimu wanaofundisha mabwana shamba na wafugaji kwenye vyuo vya kati ni kutoka SUA.
Watafiti wengi wa kilimo na mifugo. Wamesoma SUA.
Kama unabisha nenda kwenye kituo chochote cha utafiti cha kilimo TARI uulize waliposomea TARI wanafanya kazi nzuri sana pia nenda kituo chochote cha utafiti wa mifugo TALIRI uulize waliposomea nao wanafanya kazi nzuri sana.

TARI wamefanya utafiti wa mbegu mbalimbali zikiwemo za korosho,michikichi,alizeti,mpunga nk.

TALIRI wamefanya tafiti mbalimbali za mifugo ikiwemo ng'ombe,mbuzi nk.

Tusidharau vyuo vyetu.
TARI wana fanyaga tafiti za mifugo? Ok tufanye yes, ni aima zipi za kuku walizo fanyia utafiti na kuja nazo? ni aina zipi za Ng'ombe wame kuja nazo?
 
TARI wana fanyaga tafiti za mifugo? Ok tufanye yes, ni aima zipi za kuku walizo fanyia utafiti na kuja nazo? ni aina zipi za Ng'ombe wame kuja nazo?
Soma vizuri hakuna sehemu nilipoandika TARI wanafanya utafiti wa mifugo. TARI Ni kilimo na TALIRI Ni mifugo.

TARI wamefanya utafiti wa mbegu bora za ufuta na korosho -TARI Naliendele.
TARI Ilonga wamefanya utafiti wa mbegu bora ya alizeti,TARI ya Kigoma wamefanya utafiti wa mbegu bora ya michikichi nk.
TALIRI wamefanya utafiti wa mbegu bora za ng'ombe aina ya Mpwapwa,na mbuzi bora aina ya Malya.

Hawa watafiti wengi wamesoma SUA na wengi wana PhD.

Narudia tena tusidharau watafiti wetu na vyuo vyetu.
 
Soma vizuri hakuna sehemu nilipoandika TARI wanafanya utafiti wa mifugo. TARI Ni kilimo na TALIRI Ni mifugo.

TARI wamefanya utafiti wa mbegu bora za ufuta na korosho -TARI Naliendele.
TARI Ilonga wamefanya utafiti wa mbegu bora ya alizeti,TARI ya Kigoma wamefanya utafiti wa mbegu bora ya michikichi nk.
TALIRI wamefanya utafiti wa mbegu bora za ng'ombe aina ya Mpwapwa,na mbuzi bora aina ya Malya.

Hawa watafiti wengi wamesoma SUA na wengi wana PhD.

Narudia tena tusidharau watafiti wetu na vyuo vyetu.
Hao Ng'ombe aina ya Mpwawa wako wapi? Usiniambie wanapatikana Mpwapwa pekee?
 
View attachment 2184447
Nimeangalia na kusona sehemu ya maandiko kuhusu mmea aina ya Canola au Rapeseed, ambao unaweza kuzalisha mafuta ya Kula zaidi ya Alizeti.

Wenzetu Kenya wenye mashamba makubwa wameanza kulima, licha ya kuwapatia faida lakini kimekuwa ni kama kilimo cha muda kusaidia kurutubisha ardhi au kubadilisha mazao wakati wa kulima Ngano.

View attachment 2184452

Imeelezwa kuna aina mbili kuu za mafuta yanayopatikana kutoka na mmea huu wa Rapeseed. Ipo inayotoa mafuta kwa ajili ya kupikia na mafuta ya tasnia ya kemikali za magari.



Kwa upande wa Kenya inaelezwa kuwa bei ya jumla ya mbegu za Rapeseed (canola) kwa mwaka huu 2022, inakadiriwa kuwa Kati ya US$ 5.2 na US$ 9 kwa kilogram au Kati ya US$ 2.36 na US$ 4.08 kwa pound(lb). Bei hii kwa Kenya ni sawa na Shilingi ya Kenya (KES) 566.45 kwa kilogram kwa Mombasa and Nairobi.

View attachment 2184442

Mkuu nahitaji mbegu ya hiyo canola au rapeseed Taipataje? Msaada tafadhali
 
Mkuu nahitaji mbegu ya hiyo canola au rapeseed Taipataje? Msaada tafadhali
Juzi post nilio post ya mbegu za Canola hukuiona? Nisha post mara 2 humu kuhusu Mbegu na Bahati nzuri zisha ondoka zote, now kwa mimi mtu asiniulize ishu ya mbegu tena make zimeisha na sijui kwa kizipata tena
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom