funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,557
- 21,034
Ndugu wakulima na wananchi kwa ujumla, kama una eneo dogo katika nyumba yako usiridharau linaweza kukusaidia ukaweka mimea michache ambayo itasaidia kukupatia chakula kama nyanya, vitunguu, pilipili, spinachi, mchicha, nyanya chungu, bamia n.k. Sio kazi ngumu maana hata mtu anayefanya kazi anaweza kuhudumia mimea hiyo