Kilimo cha alizeti (sunflower) sesemi (ufuta) and palm oil (michikichi)

tajiri tumbo kubwa

JF-Expert Member
May 27, 2021
429
566
Habari wakuu,

Nataraji mko wazima licha ya majukumu mengi ya ujenzi wa taifa. Zote tumeshudia bei ya juu sana ya mafuta ya kula, Na kwa wale hawajui mafuta ya kula inatokana na hizi bidhaa nimetaja hapo juu, alizeti, michikichi, na ufuta.

Tuko na ardhi tele yenye rutuba, na yenye uwezo wa kilimo cha hii mimea, Sasa mimi najua sehemu za michikichi ni kigoma, alizeti mingi inapatikana siginda, na ufuta mikoa ya kusini kaa sikosei. Sasa wakuu niko na nia ya kuu ya kupunguza hii tatizo ya bei ya mafuta kupanda kila mara, ile kitu au msaada nahitaji toka kwenu wakuu ni hii, je isipokuwa hizo sehemu nimetaja, yaani michikichi ni kigoma, alizeti ni singida, na ufuta ni huko kusini lindi na mtwara, kaa kuna sehemu zingine ambazo hizi mimea zinakuwa au hufanya vizuri, basi naomba tafadhali munipee taarifa, maana mimi hizo ndizo sehemu tu mimi najua zinakuwa kwa wingi.

Lakini kaa kuna mtu anajua sehemu zingine ambazo hii mimea hukuwa pls nijulisheni.nia yangu ni kulima na kuprocess na kutengeneza hii mafuta ya kura, na pia hii itatupunguzia utumiaji wa fedha za kigeni tunazotumia kuangiza kitu kaa palm oil and vitu kaa hizo.

Nielezeni zile sehemu naweza pata alizeti, michikiti na ufuta kwa wingi zaidi.

Natanguliza shukurani, asanteni sana wakuu.
 
Kila sehemu ambayo mhindi unaweza kukua na alizeti inaweza kukua.

So Njombe, Mbeya, Makete, Tanga, na Tz nzima alizeti inaweza kukua.

Kama unataka kununua sijui kwa sehemu zingine ila kwa eneo letu bei yake hua ina tabia ya kupanda kadri muda unavyoenda tofauti na mahindi ambayo kama siyo kushuka basi bei yake hua flat mpaka inakutana na mavuno mengine.

Chikichi na ufuta sijui.
 
Habari wakuu,

Nataraji mko wazima licha ya majukumu mengi ya ujenzi wa taifa. Zote tumeshudia bei ya juu sana ya mafuta ya kula, Na kwa wale hawajui mafuta ya kula inatokana na hizi bidhaa nimetaja hapo juu, alizeti, michikichi, na ufuta.

Tuko na ardhi tele yenye rutuba, na yenye uwezo wa kilimo cha hii mimea, Sasa mimi najua sehemu za michikichi ni kigoma, alizeti mingi inapatikana siginda, na ufuta mikoa ya kusini kaa sikosei. Sasa wakuu niko na nia ya kuu ya kupunguza hii tatizo ya bei ya mafuta kupanda kila mara, ile kitu au msaada nahitaji toka kwenu wakuu ni hii, je isipokuwa hizo sehemu nimetaja, yaani michikichi ni kigoma, alizeti ni singida, na ufuta ni huko kusini lindi na mtwara, kaa kuna sehemu zingine ambazo hizi mimea zinakuwa au hufanya vizuri, basi naomba tafadhali munipee taarifa, maana mimi hizo ndizo sehemu tu mimi najua zinakuwa kwa wingi.

Lakini kaa kuna mtu anajua sehemu zingine ambazo hii mimea hukuwa pls nijulisheni.nia yangu ni kulima na kuprocess na kutengeneza hii mafuta ya kura, na pia hii itatupunguzia utumiaji wa fedha za kigeni tunazotumia kuangiza kitu kaa palm oil and vitu kaa hizo.

Nielezeni zile sehemu naweza pata alizeti, michikiti na ufuta kwa wingi zaidi.

Natanguliza shukurani, asanteni sana wakuu.
Alizeti ipo nchi nzima pia kwa wingi Dodoma,Ufuta Dodoma upo pia kwa wingi ,Singida Tabora nk,michikichi pia inapatikana Mbeya wilaya ya Kyela na Busokelo upande wa Ntaba na Masoko.
 
Kila sehemu ambayo mhindi unaweza kukua na alizeti inaweza kukua.

So Njombe, Mbeya, Makete, Tanga, na Tz nzima alizeti inaweza kukua.

Kama unataka kununua sijui kwa sehemu zingine ila kwa eneo letu bei yake hua ina tabia ya kupanda kadri muda unavyoenda tofauti na mahindi ambayo kama siyo kushuka basi bei yake hua flat mpaka inakutana na mavuno mengine.

Chikichi na ufuta sijui.
asante sana mkuu
 
Habari wakuu,

Nataraji mko wazima licha ya majukumu mengi ya ujenzi wa taifa. Zote tumeshudia bei ya juu sana ya mafuta ya kula, Na kwa wale hawajui mafuta ya kula inatokana na hizi bidhaa nimetaja hapo juu, alizeti, michikichi, na ufuta.

Tuko na ardhi tele yenye rutuba, na yenye uwezo wa kilimo cha hii mimea, Sasa mimi najua sehemu za michikichi ni kigoma, alizeti mingi inapatikana siginda, na ufuta mikoa ya kusini kaa sikosei. Sasa wakuu niko na nia ya kuu ya kupunguza hii tatizo ya bei ya mafuta kupanda kila mara, ile kitu au msaada nahitaji toka kwenu wakuu ni hii, je isipokuwa hizo sehemu nimetaja, yaani michikichi ni kigoma, alizeti ni singida, na ufuta ni huko kusini lindi na mtwara, kaa kuna sehemu zingine ambazo hizi mimea zinakuwa au hufanya vizuri, basi naomba tafadhali munipee taarifa, maana mimi hizo ndizo sehemu tu mimi najua zinakuwa kwa wingi.

Lakini kaa kuna mtu anajua sehemu zingine ambazo hii mimea hukuwa pls nijulisheni.nia yangu ni kulima na kuprocess na kutengeneza hii mafuta ya kura, na pia hii itatupunguzia utumiaji wa fedha za kigeni tunazotumia kuangiza kitu kaa palm oil and vitu kaa hizo.

Nielezeni zile sehemu naweza pata alizeti, michikiti na ufuta kwa wingi zaidi.

Natanguliza shukurani, asanteni sana wakuu.
Mawese yamejaa tele TZ. Ila watu hawayapendi. Soko la mbeya buku unapata lita moja Kigoma lita hadi 700, tuliani,ifakara, kyela.
Hadi pwani chikichi inakubali.
Tabora katavi pote chikichi inakubali.
Chikichi ni tropical inaweza ikakubali TZ yote ila tu tunaishi kwa mazoea.
Mafuta sio shida ila Alizeti ndio shida, mawese bei poa sana na hayajawahi kupanda hadi lita 2000.
Nazi ipo tele,Pamba ipo tele karanga zipo tele zinaozea masokoni ila tunasema mafita shida.
Tuache kuaminishana kuws TZ mafuta shida ila mafuta ya alizeti ndio shida.
shida sio mafuta shida ni udumavu wa akili wa watanzania
 
Usisikiluze sana wanasiasa, utakuja kulia. Chikichi inapandwa kwa mamilioni kigoma wakati mawese yaliopo tu wameshindwa ku process kuwa bidhaa ya kiviwanda.
Kama una soko la nje lima chikichi.
 
Mkuu naomba nikujibu kuhusu michikichi, sijui uko wapi lakin michikichi inastawi mahala pa joto zaidi, kila ambako Nazi zinastawi na michikichi inakubali. Na ndio memea unaoa mafuta mengi Kwa acre mpaka leo. Uzuri ni kwamba unapanda then baada ya miaka 2 na nusu unaanza kukamua na utaendelea mpaka miaka 27-30 kama umepanda ya kisasa yenye. Ukiweza kupanda at an industrial scale let say kuamzia acres 500+, agiza machine China ya kukamua mawese, na ya kufanya purification (kuondoa ile rangi nyeupe na harufu ya mawese). Murza Oil, Azania Oil, ...wanatumia mawese kutoka Malaysia na Indonesia akiwa mekundu wanayafanyia purification process
 
Mkuu naomba nikujibu kuhusu michikichi, sijui uko wapi lakin michikichi inastawi mahala pa joto zaidi, kila ambako Nazi zinastawi na michikichi inakubali. Na ndio memea unaoa mafuta mengi Kwa acre mpaka leo. Uzuri ni kwamba unapanda then baada ya miaka 2 na nusu unaanza kukamua na utaendelea mpaka miaka 27-30 kama umepanda ya kisasa yenye. Ukiweza kupanda at an industrial scale let say kuamzia acres 500+, agiza machine China ya kukamua mawese, na ya kufanya purification (kuondoa ile rangi nyeupe na harufu ya mawese). Murza Oil, Azania Oil, ...wanatumia mawese kutoka Malaysia na Indonesia akiwa mekundu wanayafanyia purification process
Mafuta ya mo huwa anatumia alizeti au chikichi kutengenezea mafuta kwenye kiwanda chake?
 
Mkuu utahitaji kupata taarifa za uzalishaji wa mbegu za mafuta kwa nchi nzima kwanza,pili matumizi ya mafuta kwa aina zake (Mafuta ya alizeti,ufuta,chikichi,karanga nk) kwa nchi nzima.Pili kiasi kinachoingia hapa nchini.Kisha hiyo itakupa picha ya gap kama lipo upande wa uzalishaji au utumiaji.Aidha kwa kiwango kikubwa kuna gap kubwa la Uchakataji hasa ikizingatiwa kuwa tuna teknolojia ya chini bado kwa sehemu kubwa ya nchi kwa upand wa uzalishaji na upande waa uchaataji.Mwaka huu nililima alizeti lakini nikipeleka mashineni kiasi cha mafuta ni kidogo kwa sababu ya aina ya mashine,ikiwa na maana mafuta mengi yanabaki kwenye mashudu.Hii imechangia kuwavunja moyo wakulima.Kwa upande mwingine mahli kama Kigoma njia ya kuchakata mawese ni ya kienyeji sana kiasi ambacho haina tija kwa mkulima na mchakataji.Hadi zitakapo kuja mashine za kisasa ndipo kilimo cha mazao ya mafuta kitakuwa na tija.
 
Mawese yamejaa tele TZ. Ila watu hawayapendi. Soko la mbeya buku unapata lita moja Kigoma lita hadi 700, tuliani,ifakara, kyela.
Hadi pwani chikichi inakubali.
Tabora katavi pote chikichi inakubali.
Chikichi ni tropical inaweza ikakubali TZ yote ila tu tunaishi kwa mazoea.
Mafuta sio shida ila Alizeti ndio shida, mawese bei poa sana na hayajawahi kupanda hadi lita 2000.
Nazi ipo tele,Pamba ipo tele karanga zipo tele zinaozea masokoni ila tunasema mafita shida.
Tuache kuaminishana kuws TZ mafuta shida ila mafuta ya alizeti ndio shida.
shida sio mafuta shida ni udumavu wa akili wa watanzania
sasa hv 1 litre ya mafuta ya mawese kwa ifakara nmetoka juzi ni 3000-3500 bei ya mafuta ya kula hz refined (KORIE) Ilivyopanda kila kitu kimeenda juu alizeti mbeya ilikuwa 3000 sasa hv ni 6000
 
Mawese yamejaa tele TZ. Ila watu hawayapendi. Soko la mbeya buku unapata lita moja Kigoma lita hadi 700, tuliani,ifakara, kyela.
Hadi pwani chikichi inakubali.
Tabora katavi pote chikichi inakubali.
Chikichi ni tropical inaweza ikakubali TZ yote ila tu tunaishi kwa mazoea.
Mafuta sio shida ila Alizeti ndio shida, mawese bei poa sana na hayajawahi kupanda hadi lita 2000.
Nazi ipo tele,Pamba ipo tele karanga zipo tele zinaozea masokoni ila tunasema mafita shida.
Tuache kuaminishana kuws TZ mafuta shida ila mafuta ya alizeti ndio shida.
shida sio mafuta shida ni udumavu wa akili wa watanzania
Uko sahihi mkuu,hivi hakuna jinsi ya kurifine mawese yawe kama korie
 
sasa hv 1 litre ya mafuta ya mawese kwa ifakara nmetoka juzi ni 3000-3500 bei ya mafuta ya kula hz refined (KORIE) Ilivyopanda kila kitu kimeenda juu alizeti mbeya ilikuwa 3000 sasa hv ni 6000
Kwani huwezi kurefine mawese yawe kama korie
 
Habari wakuu,

Nataraji mko wazima licha ya majukumu mengi ya ujenzi wa taifa. Zote tumeshudia bei ya juu sana ya mafuta ya kula, Na kwa wale hawajui mafuta ya kula inatokana na hizi bidhaa nimetaja hapo juu, alizeti, michikichi, na ufuta.

Tuko na ardhi tele yenye rutuba, na yenye uwezo wa kilimo cha hii mimea, Sasa mimi najua sehemu za michikichi ni kigoma, alizeti mingi inapatikana siginda, na ufuta mikoa ya kusini kaa sikosei. Sasa wakuu niko na nia ya kuu ya kupunguza hii tatizo ya bei ya mafuta kupanda kila mara, ile kitu au msaada nahitaji toka kwenu wakuu ni hii, je isipokuwa hizo sehemu nimetaja, yaani michikichi ni kigoma, alizeti ni singida, na ufuta ni huko kusini lindi na mtwara, kaa kuna sehemu zingine ambazo hizi mimea zinakuwa au hufanya vizuri, basi naomba tafadhali munipee taarifa, maana mimi hizo ndizo sehemu tu mimi najua zinakuwa kwa wingi.

Lakini kaa kuna mtu anajua sehemu zingine ambazo hii mimea hukuwa pls nijulisheni.nia yangu ni kulima na kuprocess na kutengeneza hii mafuta ya kura, na pia hii itatupunguzia utumiaji wa fedha za kigeni tunazotumia kuangiza kitu kaa palm oil and vitu kaa hizo.

Nielezeni zile sehemu naweza pata alizeti, michikiti na ufuta kwa wingi zaidi.

Natanguliza shukurani, asanteni sana wakuu.
Kwanin vitu vyote hvo vipo ila Bei ya mafuta ya kula yanaongezeka inaleta ugumu wa maisha kwa wafanya Biashara wadogo wadogo kama wakina mama
 
Alizeti ipo nchi nzima pia kwa wingi Dodoma,Ufuta Dodoma upo pia kwa wingi ,Singida Tabora nk,michikichi pia inapatikana Mbeya wilaya ya Kyela na Busokelo upande wa Ntaba na Masoko.
Hii nchi imebarikiwa na kulaaniwa kwa wakati mmoja. Ardhi ya kutosha yenye rutuba lakini watu ni maskini wa kufa mtu
 
Mawese yamejaa tele TZ. Ila watu hawayapendi. Soko la mbeya buku unapata lita moja Kigoma lita hadi 700, tuliani,ifakara, kyela.
Hadi pwani chikichi inakubali.
Tabora katavi pote chikichi inakubali.
Chikichi ni tropical inaweza ikakubali TZ yote ila tu tunaishi kwa mazoea.
Mafuta sio shida ila Alizeti ndio shida, mawese bei poa sana na hayajawahi kupanda hadi lita 2000.
Nazi ipo tele,Pamba ipo tele karanga zipo tele zinaozea masokoni ila tunasema mafita shida.
Tuache kuaminishana kuws TZ mafuta shida ila mafuta ya alizeti ndio shida.
shida sio mafuta shida ni udumavu wa akili wa watanzania
Umenena vema sana. Tatizo letu tunachagua sana mafuta ya kula. Nakumbuka zamani kulikuwa na mafuta ya pamba, mawese, karanga, hata mafuta ya mahindi kutoka Marekani. Nazi pia zinatoa mafuta safi ya kula. Watanzania tunashindwa kujua kuwa hata hii Korie ni mafuta ya mawese yaliyosafishwa na kuondolewa rangi ya asili nyekundu. Inashangaza tunauziana mafuta ya kula kwa bei kubwa ilhali vyanzo vya mafuta hayo tunavyo kibao.
 
Back
Top Bottom