Basil Ammi
Member
- Jan 13, 2020
- 5
- 2
Naomba msaada kwa wataalam waliokwisha kulima na zao la Alizeti wanapambana vipi na ndege, maana naona watamaliza juhudi zote nilizoweka mwaka huu.
Wako wengi na wanashambulia mazao kweli kweli.
Inategemeana na mkoa gan,.weka walinzi walinde
Sent using Jamii Forums mobile app