Nyamburi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2011
- 306
- 36
Kwa upande wa hali ya hewa ukanda huo zao hili linaweza kustawi. Kama Mzenga zao hilo halijawahi limwa nakushauri jaribia kwanza ulime eneo dogo maana hali ya hewa na udongo vinaweza kuwa toshelevu kwa zao lakini kukawa na matatizo mengine tusiyoyajua, kwa mfano uwepo wa wanyama kama panya, ndege na nyani (ngedere) hawa huwa ni kikwazo sana! Kwa vyovyote vile hata kama una nguvu na uwezo msimu wa kwanza jaribu ufanye kama kujaribia! Vinginevyo mazingira ya mzenga ni mazuri tu.
Wakuu naombeni mnisaidie kitu kimoja,je kuna anaejua gunia moja la alizeti linatoa lita ngapi za mafuta!asanteni