Wingu
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,318
- 401
Mkuu naomba na mimi nitoe mchango wangu kwa kwa kile ninachojua kwenye hili zao.Binafsi nina mashine ya kukamulia alizeti 118 ni ya kichina hii mashine kwani kipindi zimetoka hizi mashine ndo zilikuwa chaguo la wafanyabiashara wengi sana waalizeti.
Lakini kilochokuja kutukumba wengi wetu ni ughali wa spea za mashine yenyewe na hata gear box zikaanza kutusumbua sana.
Sasa tukaje na solution ya kubadilisha gear box tukaweka mapaja ya trekta ili kutatua tatizo.Hilo zoezi wengi tulifanikiwa licha ya gharama ya zoezi zima kuwa kubwa sana.
Kikajitokeza tatizo jingine hasa hasa kwa wateja wanaotaka kukamuliwa wakawa wanailalamikia hii mashine kwamba sio nzuri inawakata sana kwenye mafuta.Ijapokuwa kukata kwa mafuta kuna sababu nyingi achilia mbali mashine yenyewe.
Sasa kwa sisi wafanyabiashara ambao tunawakamulia vile vile wenye mbegu zao ikawa ni tatizo jengine.Watu wakaja na mashine 105 kwamba ndo nzuri na hai kati mafuta na ndo wengi wakamuaji wakawa wanataka mashine 105 ili wakamulie hapo na ndo inayotumika mpaka sasa hivi kwa wakamuaji wengi.
Hii ndo historia fupi ya hizi mashine za alizeti kuhusiana na mashine za SIDO kwa kweli sijawahi kuziona na sidhani kama zinauwezo sana wakufanya kazi kubwa sana kama hizi za kichina.
Huu ndo mchango wangu kwa upande wa mashine.Nitarudi kuzungumzia bei ya alizeti na soko lake.
Lakini kilochokuja kutukumba wengi wetu ni ughali wa spea za mashine yenyewe na hata gear box zikaanza kutusumbua sana.
Sasa tukaje na solution ya kubadilisha gear box tukaweka mapaja ya trekta ili kutatua tatizo.Hilo zoezi wengi tulifanikiwa licha ya gharama ya zoezi zima kuwa kubwa sana.
Kikajitokeza tatizo jingine hasa hasa kwa wateja wanaotaka kukamuliwa wakawa wanailalamikia hii mashine kwamba sio nzuri inawakata sana kwenye mafuta.Ijapokuwa kukata kwa mafuta kuna sababu nyingi achilia mbali mashine yenyewe.
Sasa kwa sisi wafanyabiashara ambao tunawakamulia vile vile wenye mbegu zao ikawa ni tatizo jengine.Watu wakaja na mashine 105 kwamba ndo nzuri na hai kati mafuta na ndo wengi wakamuaji wakawa wanataka mashine 105 ili wakamulie hapo na ndo inayotumika mpaka sasa hivi kwa wakamuaji wengi.
Hii ndo historia fupi ya hizi mashine za alizeti kuhusiana na mashine za SIDO kwa kweli sijawahi kuziona na sidhani kama zinauwezo sana wakufanya kazi kubwa sana kama hizi za kichina.
Huu ndo mchango wangu kwa upande wa mashine.Nitarudi kuzungumzia bei ya alizeti na soko lake.