Truthg
Member
- Sep 3, 2015
- 54
- 16
Wadau Habarini.
Naomba kujuzwa machache kuhusu kilimo cha alizeti.
Katika ekari moja yanapatikana mazao gunia ngapi?
Je, kama nahitaji kufanya biashara ya mafuta kipi ni bora kati ya kununua alizeti au kulima mimi mwenyewe.
Natanguliza shukurani zangu kwa kila atakayechangia
Naomba kujuzwa machache kuhusu kilimo cha alizeti.
Katika ekari moja yanapatikana mazao gunia ngapi?
Je, kama nahitaji kufanya biashara ya mafuta kipi ni bora kati ya kununua alizeti au kulima mimi mwenyewe.
Natanguliza shukurani zangu kwa kila atakayechangia