Kilimo bora cha pilipili kichaa

kipenda12

Member
Aug 6, 2018
31
19
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika katika kilimo hichi cha pilipili kichaa.
 
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika katika kilimo hichi cha pilipili kichaa.
Mbona kama upo speed sana mkuu ebu eleza taratibu tuelewane

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika katika kilimo hichi cha pilipili kichaa.
Funguka ueleweke mbona maelezo hayajajitosheleza?.
 
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika katika kilimo hichi cha pilipili kichaa.
Nyie ndio wale wapigaji, Mara mjiite Namaingo, mara Kijani Kibichi na kadhalika tunawajua sana
 
Napenda kutoa faida za zao la pilipili kichaa. Biashara hii imeshika kasi katika miaka hii ya hivi karibuni. Biashara hii ina pesa nyingi na wanunusi hawakopi bidhaa kwa wakulima.mauzo yake ni papo kwa papo baadhi ya Mikoa wanaita Dhahabu nyekundu. Tunatoa Elimu Bure na tuna masoko yenye huakika katika kilimo hichi cha pilipili kichaa.
Mbegu zake nazipata wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom