Kilimo kWanza, big result now
Serikali iandae mashamba ya kutosha na mitaji watanzania waanze Kilimo...
Ajira za utalii zinaenda kwisha na Tanzania kuwa Taifa la giza, No tourists
Pia serikali itafute masoko ya mazao nchi za Saudi Arabia na ULAYA
Bila hivyo, hawa vijana watakaopoteza ajira watajikute wanakufa njaa au kufia gerezani kama sio kupigwa risasi
TAX on TAX (Park Fee Plus VAT) .....
Kwa nini wasiongeze park fee, ili serikali ichukue pesa yake kwa mkono mmoja
Unapokea pesa kwa mkono wa kulia na kushoto.....
Serikali iandae mashamba ya kutosha na mitaji watanzania waanze Kilimo...
Ajira za utalii zinaenda kwisha na Tanzania kuwa Taifa la giza, No tourists
Pia serikali itafute masoko ya mazao nchi za Saudi Arabia na ULAYA
Bila hivyo, hawa vijana watakaopoteza ajira watajikute wanakufa njaa au kufia gerezani kama sio kupigwa risasi
TAX on TAX (Park Fee Plus VAT) .....
Kwa nini wasiongeze park fee, ili serikali ichukue pesa yake kwa mkono mmoja
Unapokea pesa kwa mkono wa kulia na kushoto.....