Kilimi

Che Kalizozele

JF-Expert Member
Jul 20, 2008
777
49
Wakubwa nina dada yangu anasumbuliwa sana na kilimi,anakohoa like hell.Hana raha kabisa,msaada wenu tafadhari
 
mpe pole sana dada yako. Mwambie aende hospital huwa wanakikata kama wakimchunguza na wakigundua ni kilimi.
 
mpe pole sana dada yako. Mwambie aende hospital huwa wanakikata kama wakimchunguza na wakigundua ni kilimi.

Uwezi kuamini pretty,ameshakwenda hospital na ameshakula antibiotics mpaka daktari akamuonea huruma akaamua kumbadilishia dawa akampa esoz ambazo anatumia mpaka sasa.Lakini hali yake si nzuri bado nakohoa sana.Binafsi nilitaraji nitapata ushauri japo wa tiba mbadala(yaani dawa za kienyeji)

Navyofahamu mimi,siku hizi kuna kampeni ya kuzuia ukati wa vilimi.Na pia nakumbuka hospitali hauwezi kukatwa kulimi,ni waganga wa kienyeji ndo wanafanya shughuli hizo kwani hata mie nakumbuka kukatwa kilimi nikiwa mdogo.
 
Kwa topic hii nadhani hata mimi nitanufaika na majibu, maana kuna jamaa yangu mmoja naye ana tatizo kama hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom