Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Ajali hiyo mbaya inadaiwa kutokea mchana wa leo ambayo imesababishwa na Lori hilo lililokuwa likijaribu kulipita gari la mbele, na kisha kukutana uso kwa uso na gari hilo ndogo iliyokuwa imebeba abiria ikitokea mjini Moshi ikielekea Sanya Juu.