Kilimanjaro: Watu 4 wafariki baada ya gari aina ya Toyota Noah kugongana na Lori

Ghazwat

JF-Expert Member
Oct 4, 2015
23,718
66,261
6300082b6566da858f0316774461cd03.jpg
f65c0edef71f14c6af9c14e897aa8ec0.jpg
95d7d1ba46b5d67d022237fc1417686f.jpg
Watu wanne wamedaiwa kufariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa baada ya magari mawili Toyota Noah na Lori la maji kugongana katika maeneo ya Kikafu, Sadala mkoani Kilimanjaro.

Ajali hiyo mbaya inadaiwa kutokea mchana wa leo ambayo imesababishwa na Lori hilo lililokuwa likijaribu kulipita gari la mbele, na kisha kukutana uso kwa uso na gari hilo ndogo iliyokuwa imebeba abiria ikitokea mjini Moshi ikielekea Sanya Juu.
 
Dah. Poleni waathiriwa wote wa mkasa huo wa ajali mbaya.. Na majeruhi wapone haraka
 
Jamani ndo mwisho wa mwaka huu na uzembe wa madereva wanatumalizia ndugu zetu so sad
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom