Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,638
- 218,071
Hii ndio Taarifa mpya ambayo imetufikia hivi punde kutoka huko Mahakamani Moshi Mkoani Kilimanjaro , ambapo leo Mtuhumiwa wa unyang'anyi wa kutumia silaha za moto Ole Sabaya amefikishwa Mahakamani .
Wanawake wa Kimasai kutoka Hai wamemuombea Msamaha Ole Sabaya kwa Rais wa Nchi Samia Suluhu , kwa kutumia mtoto mchanga ambaye bado hakukatika kitovu aliyekuwa analia sana , huku wao wakiomba msamaha kwa pamoja (Bila shaka ni mambo ya kimila).
Kilichonifurahisha ni kwa Wamama hao wa Kimasai KUKIRI WAZI KWAMBA SABAYA ALIFANYA MAKOSA MENGI , lakini wanamuomba Mh Rais amsamehe na kumkanya ili aishi maisha mema hapo baadaye kama binadamu wengine.
Chanzo: Mwananchi
Wanawake wa Kimasai kutoka Hai wamemuombea Msamaha Ole Sabaya kwa Rais wa Nchi Samia Suluhu , kwa kutumia mtoto mchanga ambaye bado hakukatika kitovu aliyekuwa analia sana , huku wao wakiomba msamaha kwa pamoja (Bila shaka ni mambo ya kimila).
Kilichonifurahisha ni kwa Wamama hao wa Kimasai KUKIRI WAZI KWAMBA SABAYA ALIFANYA MAKOSA MENGI , lakini wanamuomba Mh Rais amsamehe na kumkanya ili aishi maisha mema hapo baadaye kama binadamu wengine.
Chanzo: Mwananchi