Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,445
- 3,402
Mkuu wa Mkoa Anna Mghwira amesema Wagonjwa 26 wamelazwa katika hospitali ya TPC huku eneo hilo likitengwa mahususi kwa kuhudumia wagonjwa hao
Wagonjwa wengi wanatoka Wilayani Simanjiro huku ikielezwa kuwa mlipuko huo ni miongoni mwa athari zilizotokana na mafuriko katika maeneo mengi ya bonde la mto Pangani
Maeneo yaliyoathirika zaidi kwa mkoa wa Kilimanjaro ni Chemchem, Kirungu, Mikocheni, Kahe na New land huku kwa upande wa Mkoa wa Manyara ni eneo lote la Msitu wa Tembo
Aidha, ni nadra sana kwa Kilimanjaro kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na usafi uliopo katika mkoa huo
Wagonjwa wengi wanatoka Wilayani Simanjiro huku ikielezwa kuwa mlipuko huo ni miongoni mwa athari zilizotokana na mafuriko katika maeneo mengi ya bonde la mto Pangani
Maeneo yaliyoathirika zaidi kwa mkoa wa Kilimanjaro ni Chemchem, Kirungu, Mikocheni, Kahe na New land huku kwa upande wa Mkoa wa Manyara ni eneo lote la Msitu wa Tembo
Aidha, ni nadra sana kwa Kilimanjaro kukumbwa na magonjwa ya mlipuko kutokana na usafi uliopo katika mkoa huo