chokambayaa
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 543
- 69
Jamani nimeiona stars ikicheza na zambia kwa kweli
ilinisikitisha kwa kutokuwa na mpango mzuri wa mashambulizi
Kwa sasa naiangalia ikicheza na timu dhaifu ya Somali matatizo ni yale yale
tunakosa sana magoli ya wazi forward yetu haiko makini yaani butu kweli kweli hivi tumekuwaje?? Mbona hamtupi raha jamani..............
Kweli sisi ni kichwa cha mwendawazimu?? au wachezaji hawajitumi?
Tatizo ni nini?
ilinisikitisha kwa kutokuwa na mpango mzuri wa mashambulizi
Kwa sasa naiangalia ikicheza na timu dhaifu ya Somali matatizo ni yale yale
tunakosa sana magoli ya wazi forward yetu haiko makini yaani butu kweli kweli hivi tumekuwaje?? Mbona hamtupi raha jamani..............
Kweli sisi ni kichwa cha mwendawazimu?? au wachezaji hawajitumi?
Tatizo ni nini?