kovai tamil taiga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2013
- 986
- 1,357
Zanzibar heroes imeivua nguo stars kwa kuinyuka 2-1, na kudhihirisha kuwa soka ni uwanjani na sio kwenye magazeti.
Waandishi chonde chonde msipende kuwapa vichwa hao kwa kuwaambia 'eti' wamekufa kiume..inatugharimu kama Taifa.Acheni.!!
Waandishi chonde chonde msipende kuwapa vichwa hao kwa kuwaambia 'eti' wamekufa kiume..inatugharimu kama Taifa.Acheni.!!