Kilimanjaro Stars yaaga rasmi CECAFA baada ya kufungwa na Rwanda goli 2-1. Hii Timu Inakera kuliko Kawaida

Mi hadi leo najiuliza walimpaje timu wakati hana achievement yeyote hapa bongo? Hajawahi kufundisha timu yoyote hapa bongo, au walidhani kingreza ndo kitacheza uwanjani
 
Karia sio kiongozi wa mpira....hawa kina ninje ni watumwa tu.Tatizo ni kiongozi wa chama
 
Huyu pre luminary coach Ami ninje ni useless kabisa yani hii timu angepewa kocha yoyoye Wa VPL Wa tz tungeenda semifinals ,jamaa mjanja mjanja sana aachanae Na timu yetu ya taifa it's shame kuitumia timu ya taifa kwenda kujaribia mifumo tena kWenye mashindano makubwa kama haya , useless kabisa wachezaji hawahawa mayanga kafika nao third place cosafa yeye kaja Na mifumo yake isiyojulikana and this is a blame to TFF too, huyu jamaa hajafundisha hata second division huko UK then unampa national team kweli?? You people stop working with our football
Second division mbali sana kama angefundisha hata conference tu ningeelewa...
 
Narudia komment ya ndugu yangu mmoja , Tanganyika sisi kwenye mpira ni zaidi ya kichwa cha mwendawazimu yani sisi ni kichwa cha TAAHIRAA!!! period
 
Timu ya Tanzania bara, Kilimanjaro Stars imeaga rasmi mashindano ya CECAFA baada ya kufungwa na Rwanda goli 2-1.

Magoli ya Rwanda yalifungwa dakika ya 17 na 66, wafungaji wakiwa ni Innocent Nshuti na Biramahire Abeddy, Kilimanjaro stars ilipata goli dakika ya 29 kupitia Danny Lyanga

Kabla ya Rwanda, Kilimanjaro Stars walitoa suluhu ya 0-0 na Libya na kisha kufungwa na Zanzibar Heroes goli 2-1



======================================================

Kila siku liko vile vile michuano yote iko vile vile ni kupigwa na kudroo tu haina mabadiliko ya kuwapa furaha mashabiki, Kocha wao Kiswahili kirefu sana na Kiingereza chake anatuona sisi mazuzu.

Walah uzalendo wangu kwa taifa unaanza kushuka kwa sababu ya upuuzi wa hii timu.
Warudishwe na karandinga kisha wakalale ukonga kuziba nafasi ya waliotoka jana!
 
Timu ya taifa inashindwa kufanya vzuri ni kutokana na mandalizi afifu kwa wachezaji na timu nzima kwa ujumla.Hivyo hupelekea mara kwa mara kufungwa na team pinzani.kocha angalie alipokosea ili kwny michuano mingine tufanye wonders
Rahim ndugu yangu cecafa tu tinabamizwa ivi hiyo michuano mingine si ndo itakua kiama , yaleyale ya goli saba za Algeria.
 
mpira wa bongo bwana kazi sana,rushwa,lawama,uchawi nk yaani kocha anatafutwa kwa 10%,na akija kocha mzuri hapewi nafasi kila mtu anageuka kocha,ujuaji mwingi team inolewe leo kesho watu wapate good results
 
Mi hadi leo najiuliza walimpaje timu wakati hana achievement yeyote hapa bongo? Hajawahi kufundisha timu yoyote hapa bongo, au walidhani kingreza ndo kitacheza uwanjani
Hahahaaaa
Mna mambo nyinyi watu ila ukweli ndio huo
 
Kwa wale tuliopata bahati na kusoma NJE ya NCHI mara nyingi huwa tunajikusanya na kuunda Timu ya WAAFRIKA au WATANZANIA wanaoishi ULAYA.Na kwa kufuata utaratibu huo basi na mimi nitakuwa nimecheza timu ya Tanzania na AFRICA.Timu za mabonanza.Huyu KINJE anajua kiingereza na sio kufundisha mpira.
 
Ukizipata usisahau kuziweka humu tutoe sumu zetu, Mjinga sana yule Mtu.
 
Baaada ya kikosi cha Zanzibar Heroes kuonyesha ukakamavu na juhudu za juu katika mpira na kutoka suluhu bila ya kufungana na Harambe Star,wahusika wa mashindano haya wameamua kuwapima wachezaji wa timu ya Zanzibar kama wametumia dawa za kudisha nguvu

Maoni yangu kama wanaohusika na mashindano hayo wameamua kufanya hivyo basi wafanye kwa timu zote zilizoshiriki kwenye haya mashindano, kama hawakufanya hivyo basi mashindano haya yatakuwa na ubaguzi wa iana fulani...

 
Musonyi mwenyewe anawakubali wabongo wanavyopenda mpira kuliko nchi yoyote Africa mashariki lakin ili litimu letu linazingua shine
 
Kaka nchi kuwa nchi haitokani na ukubwa ardhi,nchi kuwa nchi kuna mambo mengi ndani yake,Timu ya taifa ya Zanzibar "Zanzibar heroes" inacheza kwa ari sana,inacheza kwa kujituma sana,,,,

Kutokana na Zanzibar kutoruhusiwa kucheza katika mashindano ya Kimataifa na FIFA pamoja na shirika la mpira la Afrika imeifanya Zanzibar iwe na ari ya kutaka kuionyesha dunia kuwa wao mpira wanaujua kuliko watawala wao...

Nchi ya Uingereza ambayo imeungana muungano unaofanana na muungano wa Tanganyika na Zanzibar,nchi zilizojenga mungano wa United Kingdom Wales,Scotland zinaruhusiwa kucheza kwenye mashindano ya Dunia lakini Zanzibar hairuhusiwa sababu kuwa zanzibar imeungana na Tanganyika.

Cha kushangaza kuwa serikali ya mungano wa Tanzania inaruhusu hali hiyo iwepo....sijawahi kuisikia hata siku moja serikali ya mungano wa Tanzania kuitetea Zanzibar kwa hili kwa wao wanaona sawa tu,kwani kila kitu kiko kisiasa zaidi
Ndugu yangu ishaallah Allah atakubali dua zetu ..... Maana hawa watanganyika kikweli hasa wanatuchukulia kuwa sisi ni maadui zao tena ni adui kiliko hata hao wakenya ama waruwanda na wengine wa karibu yao, na hivi karibuni ndio wanashindwa kuficha uadui wao wanaidhihirisha waziwazi katika kila nyanja ya maisha.

Nimefurahi kuona ukieleza suala la kuondolewa zanzibar uwanachama wa CAF kizuri zaidi ikitolea mfano wa dhahir kwa taifa liliendelea zaidi kisoka na kiuchumi duniani GBR, ambalo linatoa nafasi kwa washirika wa muungano huo kuwa na uwakilishi wao katika michuona ya kimataifa kama world cup, euro cup na mengineo ila mitanganyika imeendekeza chuki, fitna, roho mbaya na ghadhabu za kijinga zisizojenga hata kwa wao wenyewe katika kila nyanja ya maisha sio uchumi, siasa wala michezo kila washikapo wanajikuta wana ZERO.
 
Back
Top Bottom