PingPong
JF-Expert Member
- Dec 21, 2008
- 926
- 160
Wadau wa michezo muda si mrefu kipute cha mchezo wa kirafiki kati ya kilimanjaro stars na harambee stars kitaanza. Kocha wa kilimanjaro ameonyesha wasiwasi wake kwenye maandalizi haya ya kombe la tusker challenge cup kwa kuwakosa mabeki wake wa kati ambao wanakipiga kwenye timu ya zanzibar na wakati huohuo kocha wa harambee amejigamba kuwa atawafunga watani wake kwa sababu anawajua vilivyo. Wadau wenye updates za mchezo huu wa kirafiki tunaomba mtujuze.