Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Mwekezaji wa kigeni raia wa Poland Bw. Damian Sankowisik amekamatwa na mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini eneo la Njiapanda Mashariki wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kukutwa akizalisha mazao ya bangi na kuchakata kupeleka nje ya nchi.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni.
Sent using Jamii Forums mobile app