verifaidi yuza
JF-Expert Member
- Sep 13, 2018
- 2,777
- 5,635
Jamaa ni mbunifu.
Hasa mbegu zake nzuri sanaIhalalishwe kwani ni haramu? Tuaceni na mboga yetu...karibuni Njombe
Mmawia, Nasubiri kusikia tamko la chama chenu kuwa huyo mwekezaji amenyanyaswa!
Kule Tarime mahindi na migomba na Meru hutaona nyanya tena.
Wivu tuAsa anapeleka nje ya nchi sie wivu wetu nini?
Kama kuna kodi hapo alipe wamuache azipeleke,tena polisi wausindize huo mzigo.
Bunge lilishaazimia bangi ni zao safi la biashara huko nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwezi kufikiri nje ya chama?!Mmawia, Nasubiri kusikia tamko la chama chenu kuwa huyo mwekezaji amenyanyaswa!
Mwekezaji wa kigeni raia wa Poland Bw. Damian Sankowisik amekamatwa na mamlaka ya kudhibiti na kupambana na dawa za kulevya nchini eneo la Njiapanda mashariki wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro baada ya kukutwa akizalisha mazao ya bangi na kuchakata kupeleka nje ya nchi.
Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Filauni. View attachment 1352187
Sent using Jamii Forums mobile app
☝️Kama inapesa si tuanze tu kulima mbona tunachelewa chelewa mambo mengi..
Sent using Jamii Forums mobile app