Majambazi yamevamia mkoani kilimanjaro, Moshi Vijijini kijiji cha Uchau kaskazini kata Kibosho Kati na kumuua mtoto mmoja na wengine kujeruhiwa.
Majambazi hayo yalivamia nyumba tatu za wafanyabiashara wa bia za jumla na kufanikiwa kuchukua pesa
wakati wa purukushani hizo ndipo mtoto huyo wa kidato cha pili katika shule ya sekondari okaona, alipokuwa akimlilia baba yake Rogasiani Mushi alipigwa risasi ya kifuani.
Majambazi hayo yalivamia nyumba tatu za wafanyabiashara wa bia za jumla na kufanikiwa kuchukua pesa
wakati wa purukushani hizo ndipo mtoto huyo wa kidato cha pili katika shule ya sekondari okaona, alipokuwa akimlilia baba yake Rogasiani Mushi alipigwa risasi ya kifuani.