G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Hatimaye sasa imejulikana kwanini CCM walichelewesha kutangaza majina. Waliounga juhudi na kuangushwa vibaya na wajumbe wa CCM wamerudishwa kwa wingi ili wakawe wagombea.
Mfano zipo kata unakuta muunga mkono juhudi alipata kura 12 na akawa wa mwisho na mshindi ana kura za wajumbe 50 lakini mwenye kura 12 amerudishwa kisa tu aliunga juhudi mkono.
Hali hii italeta vurugu sana na huenda ikatokea hata kwa nafasi za ubunge. Upo uwezekano wa yale ya kulazimisha ushindi ya serikali za mtaa kujirudia.
Inawezekana kabisa ni maelekezo kutoka juu!
Mfano zipo kata unakuta muunga mkono juhudi alipata kura 12 na akawa wa mwisho na mshindi ana kura za wajumbe 50 lakini mwenye kura 12 amerudishwa kisa tu aliunga juhudi mkono.
Hali hii italeta vurugu sana na huenda ikatokea hata kwa nafasi za ubunge. Upo uwezekano wa yale ya kulazimisha ushindi ya serikali za mtaa kujirudia.
Inawezekana kabisa ni maelekezo kutoka juu!