nurujamii
kwi kwi kwiiii
kwamba wapige desa
mimi naona wamefanya ufisadi wa kuchukua server ya bure yenye uwezo wa 100Mb-200Mb ,hivyo ime saturated hawawezi kuongeza vitu zaidi ya hivyo vilivyopo ama wamenunua host ya kulipa $6 kwa mwezi wao wanaandika ktk madaftari yao $60000 kwa mwezi.
Mimi nilipatwa na butwaa nikabaki nimeshika tama bila jibu baada ya kuambiwa ile website ya www.wananchi.co.tz ilitumia Tsh milioni 300.Ni ajabu kweli kweli.
Hako ka web uchwara ka utalii hakawezi kugharimu hata Tsh elfu ishirini lakini nenda ukaulize watakwambia milioni kadhaa.
Hawa jamaa mimi kwa kweli huwa najaribu kuwa define nasipati picha ni binadamu wa kawaida au la!!!
kwi kwi kwiiii
kwamba wapige desa
mimi naona wamefanya ufisadi wa kuchukua server ya bure yenye uwezo wa 100Mb-200Mb ,hivyo ime saturated hawawezi kuongeza vitu zaidi ya hivyo vilivyopo ama wamenunua host ya kulipa $6 kwa mwezi wao wanaandika ktk madaftari yao $60000 kwa mwezi.
Mimi nilipatwa na butwaa nikabaki nimeshika tama bila jibu baada ya kuambiwa ile website ya www.wananchi.co.tz ilitumia Tsh milioni 300.Ni ajabu kweli kweli.
Hako ka web uchwara ka utalii hakawezi kugharimu hata Tsh elfu ishirini lakini nenda ukaulize watakwambia milioni kadhaa.
Hawa jamaa mimi kwa kweli huwa najaribu kuwa define nasipati picha ni binadamu wa kawaida au la!!!