Kilimanjaro: From National Icon, to Kempinski, to Hyatt, and now finally to WikiLeaks Hotel!

Warofo

Member
Mar 15, 2011
81
79
Hoteli ya Kilimanjaro, ambayo zamani ndiyo ilikuwa hoteli ya heshima kubwa ya taifa la Tanzania, imepitia wakati mgumu tangu kubinafsishwa kwake katika mazingira ya kutatanisha. Imepitia jina la Kempinski, ikawa Hyatt (hayati) na sasa wajanja mjini wanaiita "The Kilimanjaro Wikileaks Hotel!" Waswahili kwa maneno bana...

Source: TANZANIA blog
 
Hili suala la WikiLeaks limemuumbua sana mkuu wa nchi. Pamoja na kukanusha kote huko. Tetesi zilizopo ni kuwa yaliyosemwa na balozi wa Marekani ni ukweli mtupu. Kuna watu wamethibitisha kuwa ni kweli Mwarabu alitoa mchango wa $1 million kwa CCM, hatujui kama huo mchango ulifikishwa. Pia wenye hoteli Dar wamekuwa wakilalamika kuwa Kempinski imekuwa inapewa upendeleo maalumu na Ikulu na taasisi nyingine za serikali kwenye kuwapa tenda za kufanya mikutano ya kimataifa na kitaifa kwenye hoteli hiyo.

Wakiulizwa na wenye hoteli wengine kwa nini Kempinski imekuwa ikipendelewa namna hiyo viongozi wa serikali wamekuwa wanajibu eti kwa kuwa iko karibu na Ikulu. Sasa sijui ni ukaribu wa usafiri au ukaribu wa kirafiki?!
 
Hoteli ya Kilimanjaro, ambayo zamani ndiyo ilikuwa hoteli ya heshima kubwa ya taifa la Tanzania, imepitia wakati mgumu tangu kubinafsishwa kwake katika mazingira ya kutatanisha. Imepitia jina la Kempinski, ikawa Hyatt (hayati) na sasa wajanja mjini wanaiita "The Kilimanjaro Wikileaks Hotel!" Waswahili kwa maneno bana...

Source: TANZANIA blog

imegeuka kibanda cha mafundi cherahani kwa watu kwenda kuvua nguo na kupimwa viuno, viwiliwili, urefu, upana, kifua ....ili wakanunuliwe suti.
 
The best na name of the Land of Kilimanjaro is deleted in the minds of CCM leaders can you imagine the old KIlimanjaro turning into a fracas of corruption ooh lord help me ,I want to live and see the prosperity of the Land of Kilimanjaro,the Tanganyika i want is revived
 
Hoteli ya Kilimanjaro, ambayo zamani ndiyo ilikuwa hoteli ya heshima kubwa ya taifa la Tanzania, imepitia wakati mgumu tangu kubinafsishwa kwake katika mazingira ya kutatanisha. Imepitia jina la Kempinski, ikawa Hyatt (hayati) na sasa wajanja mjini wanaiita &quot;<b>The Kilimanjaro Wikileaks Hotel</b>!&quot; Waswahili kwa maneno bana...<br />
<br />
Source: <a href="http://tanzaniaweb.blogspot.com/" target="_blank">TANZANIA blog</a>
<br />
<br />
juzi nilikuwa mule ndani..watu wanakula bata kama kawa, hawajali eti hayati rejensi au marehemu kempiski..tunaibiwa tu na wajanja wachache..ndo malipo ya ule mchango wa $1m kwa sisiem na zile suti za mukulu
 
Hii nchi imeuzwa, kumbe ndiyo maana serikali inataka kuwafukuza majaji wa Mahakama ya Rufaa kutoka kwenye jengo lao iwahamishie porini ili jengo hilo apewe mwarabu wa Kilimanjaro Hotel. Huu kweli ni utumwa!
 
The biggest Mistake was not selling this hotel to a native local Tanzanian, they went to Embrace Kapinski after free Suits and hand watches just 2 please their loving stomach's

I really do believe if Mr. Mengi who had big plan for the HOTEL his proposal would have earn more money to the gvt coffers, locals quality job employment and so many other up to the government getting it taxes.

But they run for Mwarabu na Mazawadi... look now after 5yrs they R supposed to pay taxes, they end up sale the hotel to a sister company Hyatt... U know they Related... So both companies are the same but different names due to business in some other countries then don't want Whyatt as it is American name some in Far East Love Kempinski.
 
Back
Top Bottom