Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Basi linalomilikiwa na Kampuni ya Marangu Coach, ambalo linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam kwenda Arusha, limepata ajali leo Januari 11, 2019 nje kidogo ya maeneo ya Uwanja wa ndege wa Kilimanjaro (Kia).
Kwa taarifa za awali hakuna vifo isipokuwa kuna abiria kadhaa wamejeruhiwa, huku kukiwa bado chanzo hasa cha ajali hakijafahamika mara moja.
Tutakujuza zaidi baada ya kupata taarifa kutoka kwa mamlaka husikia.!
======
Basi la kampuni ya Marangu Coach limepata ajali maeneo ya KIA mkoani Kilimanjaro
Baadhi ya abiria wamejeruhiwa huku chanzo kikiwa ni utelezi uliosababisha gari hilo kupoteza uelekeo na kupata ajali kutokana na mvua ilionyesha maeneo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa taarifa za awali hakuna vifo isipokuwa kuna abiria kadhaa wamejeruhiwa, huku kukiwa bado chanzo hasa cha ajali hakijafahamika mara moja.
Tutakujuza zaidi baada ya kupata taarifa kutoka kwa mamlaka husikia.!
======
Basi la kampuni ya Marangu Coach limepata ajali maeneo ya KIA mkoani Kilimanjaro
Baadhi ya abiria wamejeruhiwa huku chanzo kikiwa ni utelezi uliosababisha gari hilo kupoteza uelekeo na kupata ajali kutokana na mvua ilionyesha maeneo hayo
Sent using Jamii Forums mobile app