Spark
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 1,001
- 1,024
Wadau hii imekaeje?
Leo wakati tunatoka kigamboni (ferri) tukiwa na bajaji tuliingia kwenye pantoni (kivuko),baada ya kufika upande wa pili dereva alitoa chombo kama kawaida,mimi nikapanda baada tu ya chombo kutoka kwenye pantoni pale walinzi wa suma JKT wanapokaa,cha kushangaza wakatukamata na kudai mimi nlokua abiria nimetenda kosa! Tukauliza kosa gani? Wakadai sijashuka kwenye bajaji pindi nlipokua kwenye kivuko! Na wanataka elf 50 kama faini!
Tukajitetea kua sisi ni wageni na hatukua twalijua hilo,wakang'ang'ania tulipe! Je ni kwel kuna fine kama hiyo pindi mgeni au mtu asiyejua taratibu!
Badala ya kuelekezwa na kupewa onyo ili siku ingine mtu uwe makini! Wazoefu mnalipi la kutuelimisha kuhusu hili,sababu mimi naona kama sikutendewa haki!
Leo wakati tunatoka kigamboni (ferri) tukiwa na bajaji tuliingia kwenye pantoni (kivuko),baada ya kufika upande wa pili dereva alitoa chombo kama kawaida,mimi nikapanda baada tu ya chombo kutoka kwenye pantoni pale walinzi wa suma JKT wanapokaa,cha kushangaza wakatukamata na kudai mimi nlokua abiria nimetenda kosa! Tukauliza kosa gani? Wakadai sijashuka kwenye bajaji pindi nlipokua kwenye kivuko! Na wanataka elf 50 kama faini!
Tukajitetea kua sisi ni wageni na hatukua twalijua hilo,wakang'ang'ania tulipe! Je ni kwel kuna fine kama hiyo pindi mgeni au mtu asiyejua taratibu!
Badala ya kuelekezwa na kupewa onyo ili siku ingine mtu uwe makini! Wazoefu mnalipi la kutuelimisha kuhusu hili,sababu mimi naona kama sikutendewa haki!