NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Polisi wa africa ni hatari.hiki kichapo nakiona tarehe 4 ya maandamano ya katiba mpya nchi nzima,
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapolisi ya Afrika makatili, mtu ameanguka chini bado yanatembeza kipodo, nikiwa kijana nilitamani nipate fursa ya kumkuta FFU akiwa mwenyewe kwenye giza nimpopoe na jiwe kichwani.
😁😁 Nasikia FUNGUA FANTA UNYWE wamefundishwa kudunda watu mpaka gizani,sijui ukimpopoa itakuwaje apo