Mimi nashangaa,hivi niwakati gani mtu anapigiwa makofi bungeni au kugonga meza,na kitendo cha kupiga makofi bungeni kinaashiria nini, mimi ninavyofahamu nikwamba kitendo cha kupiga makofi bungeni kinamaanisha kuunga mkono au kukubaliana na jambo linanlo jadiliwa,au kinamaanisha kumkaribisha mgeni anapoingia bungeni nk, yote tisa kwa lugha ya bungeni kitendo hiki kina maanisha kuunga mkono hoja.Sasa jamani jana wakati CHADEMA wanatoka nje ya ukumbi wa bunge,waliobakia walikuwa wana piga makofi/wanagonga meza kama vile hoja binafsi ya mikataba mibovu ya madini imepitishwa,yaani walikuwa wanaunga mkono hoja au tuseme-kitendo cha CHADEMA kutoka nje kwa kuwapigia makofi CHADEMA ,wakati huo ccm kama kawaida yao wakishirikiana na vyama vingine ambavyo ni subsidiary ya ccm walikuwa wakiimba ccm ccm ..........,hukuwakiwapigia makofi CHADEMA na kugonga meza wakimaanisha wanawaunga mkono.sasa inaonekama kwamba hapo kuna mtu anazungukwa bila kujijua
,ni sawa na vile ambavyo wananchi hapa jimboni kwetu walivyo kuwaki vaa bendera za ccm huku wakijua kwamba kunamtu wnamzungua na hawakumpigia kura huyu mgombea wa ccm kwa jimbo hili na badala yake wakampigia wa CHADEMA na baadae ccm walipozinduka wakabaki wanashangaa.Jana wabunge wa ccm walionesha kuiunga mkono CHADEMA huku wakiimba ccm ccm..........ilikumzuga mtu flani pale bungeni.
,ni sawa na vile ambavyo wananchi hapa jimboni kwetu walivyo kuwaki vaa bendera za ccm huku wakijua kwamba kunamtu wnamzungua na hawakumpigia kura huyu mgombea wa ccm kwa jimbo hili na badala yake wakampigia wa CHADEMA na baadae ccm walipozinduka wakabaki wanashangaa.Jana wabunge wa ccm walionesha kuiunga mkono CHADEMA huku wakiimba ccm ccm..........ilikumzuga mtu flani pale bungeni.