Kilichotokea wakati chadema wanatoka nje ya ukumbi wa bunge

Far star

Senior Member
Nov 3, 2010
139
0
Mimi nashangaa,hivi niwakati gani mtu anapigiwa makofi bungeni au kugonga meza,na kitendo cha kupiga makofi bungeni kinaashiria nini, mimi ninavyofahamu nikwamba kitendo cha kupiga makofi bungeni kinamaanisha kuunga mkono au kukubaliana na jambo linanlo jadiliwa,au kinamaanisha kumkaribisha mgeni anapoingia bungeni nk, yote tisa kwa lugha ya bungeni kitendo hiki kina maanisha kuunga mkono hoja.Sasa jamani jana wakati CHADEMA wanatoka nje ya ukumbi wa bunge,waliobakia walikuwa wana piga makofi/wanagonga meza kama vile hoja binafsi ya mikataba mibovu ya madini imepitishwa,yaani walikuwa wanaunga mkono hoja au tuseme-kitendo cha CHADEMA kutoka nje kwa kuwapigia makofi CHADEMA ,wakati huo ccm kama kawaida yao wakishirikiana na vyama vingine ambavyo ni subsidiary ya ccm walikuwa wakiimba ccm ccm ..........,hukuwakiwapigia makofi CHADEMA na kugonga meza wakimaanisha wanawaunga mkono.sasa inaonekama kwamba hapo kuna mtu anazungukwa bila kujijua
,ni sawa na vile ambavyo wananchi hapa jimboni kwetu walivyo kuwaki vaa bendera za ccm huku wakijua kwamba kunamtu wnamzungua na hawakumpigia kura huyu mgombea wa ccm kwa jimbo hili na badala yake wakampigia wa CHADEMA na baadae ccm walipozinduka wakabaki wanashangaa.Jana wabunge wa ccm walionesha kuiunga mkono CHADEMA huku wakiimba ccm ccm..........ilikumzuga mtu flani pale bungeni.
 
Mimi nashangaa,hivi niwakati gani mtu anapigiwa makofi bungeni au kugonga meza,na kitendo cha kupiga makofi bungeni kinaashiria nini, mimi ninavyofahamu nikwamba kitendo cha kupiga makofi bungeni kinamaanisha kuunga mkono au kukubaliana na jambo linanlo jadiliwa,au kinamaanisha kumkaribisha mgeni anapoingia bungeni nk, yote tisa kwa lugha ya bungeni kitendo hiki kina maanisha kuunga mkono hoja.Sasa jamani jana wakati CHADEMA wanatoka nje ya ukumbi wa bunge,waliobakia walikuwa wana piga makofi/wanagonga meza kama vile hoja binafsi ya mikataba mibovu ya madini imepitishwa,yaani walikuwa wanaunga mkono hoja au tuseme-kitendo cha CHADEMA kutoka nje kwa kuwapigia makofi CHADEMA ,wakati huo ccm kama kawaida yao wakishirikiana na vyama vingine ambavyo ni subsidiary ya ccm walikuwa wakiimba ccm ccm ..........,hukuwakiwapigia makofi CHADEMA na kugonga meza wakimaanisha wanawaunga mkono.sasa inaonekama kwamba hapo kuna mtu anazungukwa bila kujijua
,ni sawa na vile ambavyo wananchi hapa jimboni kwetu walivyo kuwaki vaa bendera za ccm huku wakijua kwamba kunamtu wnamzungua na hawakumpigia kura huyu mgombea wa ccm kwa jimbo hili na badala yake wakampigia wa CHADEMA na baadae ccm walipozinduka wakabaki wanashangaa.Jana wabunge wa ccm walionesha kuiunga mkono CHADEMA huku wakiimba ccm ccm..........ilikumzuga mtu flani pale bungeni.
Kweli kitu kimoja kila mtu anakiona kwa mtazamo wake. Nimeipenda hii, kweli waliunga mkono Chadema kutoka inje.
 
Kuna waliokuwa wanazomea ivi hakuna azabu kwa watu kama hao?manake bunge liligeuka zogo
 
Mie nilifanikiwa kumuona spika aliyestaili, wa viwango na kasi, akiwa kimyaaa!! Hakushangilia wala kusikitika. Hakuzomea wala hakupiga meza. Nadhani alikuwa anatafakari kanuni ya aidha ku-support ama kupinga (maana hatujajua bado msimamo wake).
Kwa swala la wana CCM wengine kuzomea mie sishangai kwa sababu ni rahisi kumtambua mjinga kuliko mwerevu. Nimeshindwa ku-classify Sitta kwa sababu alikaa kimya, lakini nimeweza kiurahisi kabisa kufahamu kuwa bado wengi wa wabunge wa CCM wanaangalia Chama na wala si taifa. Na hii inanishawishi kuwa mgombea akiwa tu ni wa CCM basi hafai, sababu huko bungeni hatonitetea mimi bali atatetea chama chake.
Nawakilisha
 
Mimi nashangaa,hivi niwakati gani mtu anapigiwa makofi bungeni au kugonga meza,na kitendo cha kupiga makofi bungeni kinaashiria nini, mimi ninavyofahamu nikwamba kitendo cha kupiga makofi bungeni kinamaanisha kuunga mkono au kukubaliana na jambo linanlo jadiliwa,au kinamaanisha kumkaribisha mgeni anapoingia bungeni nk, yote tisa kwa lugha ya bungeni kitendo hiki kina maanisha kuunga mkono hoja.Sasa jamani jana wakati CHADEMA wanatoka nje ya ukumbi wa bunge,waliobakia walikuwa wana piga makofi/wanagonga meza kama vile hoja binafsi ya mikataba mibovu ya madini imepitishwa,yaani walikuwa wanaunga mkono hoja au tuseme-kitendo cha CHADEMA kutoka nje kwa kuwapigia makofi CHADEMA ,wakati huo ccm kama kawaida yao wakishirikiana na vyama vingine ambavyo ni subsidiary ya ccm walikuwa wakiimba ccm ccm ..........,hukuwakiwapigia makofi CHADEMA na kugonga meza wakimaanisha wanawaunga mkono.sasa inaonekama kwamba hapo kuna mtu anazungukwa bila kujijua
,ni sawa na vile ambavyo wananchi hapa jimboni kwetu walivyo kuwaki vaa bendera za ccm huku wakijua kwamba kunamtu wnamzungua na hawakumpigia kura huyu mgombea wa ccm kwa jimbo hili na badala yake wakampigia wa CHADEMA na baadae ccm walipozinduka wakabaki wanashangaa.Jana wabunge wa ccm walionesha kuiunga mkono CHADEMA huku wakiimba ccm ccm..........ilikumzuga mtu flani pale bungeni.

Me nadhan bungeni hakuna option mbadala zaidi ya hiyo ya kugonga mabenchi katika kuashiria jambo lolote zuri au baya, all in all wabunge waliobaki walidhihirisha kuunga mkono kitendo cha chadema! Soliderity.....,
 
Wengi walikuwa wakizomea lakini Kiwete alibaki ameduwaa na hilo tabasamu lake la kinafiki.
Hakika nchi hii inaongozwa na MAJUHA WATUPU. Hapa namaanisha CCM na vikaragosi vyake,CUF,TLP,NCCR,UDP. Nchi hii imeoza hatuna viongozi.
 
Back
Top Bottom