Myahudi Jr II
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 6,703
- 8,481
Huo ndiyo ukweli....Acha udaku ulimuuwa wewe sio kwa uchuro huo
Kuna jamaa mmja humu namuambia eddo alifia gerezani sauzi anasema mm mdaku...mkuu unakumbuka kulikuwa n'a sehemu ya kuuza chips inaitwa tak papa pembeni n'a eddoEdo alipiga mtaji akasepa Sauzi, baadae Dingi yake akairudisha tena....Nasikia Edo aliwekwa ndani Sauzi. Ila kitambo sana, watoto wa 'mafleti' tulikua tunaenda kununua chips
Sasa wanaovaa mavazi yenye mabaka mabaka kama ya jeshi ni akina nani?Hebu acha uzushi wewe eti vijana wa Makumbusha Unawajua? Wana alama?
Kama kweli ndugy zake wanajua?Huo ndiyo ukweli....
Ova
Nakubishia mwanzo mwisho edo kafungwa south Africa kipindi kirefu ila ni mzima hajafaKuna jamaa mmja humu namuambia eddo alifia gerezani sauzi anasema mm mdaku...mkuu unakumbuka kulikuwa n'a sehemu ya kuuza chips inaitwa tak papa pembeni n'a eddo
Ova
Waache watoto wa bashite waendelee kudiscuss chipsi yai na kuku wa kisasa. Nadhani siye wa mikoani hayatuhusu haya.Jamani sisi wengine tuko na tunaishi Mikoani muda wote hivyo hatujui maana ya neno Vijana wa Makumbusho mara sijui mabaka ya jei wii na kwa Edo Chips. Tunaomba ufafanuzi wa kutosha na utakaotusaidia kutuelewesha sisi wa Mikoani kuweza kuelewa hiki ulichokiandika Mkuu. Nitashukuru.
Mkuu eddo kafia gerezaniNakubishia mwanzo mwisho edo kafungwa south Africa kipindi kirefu ila ni mzima hajafa
MakhirikhiriSasa wanaovaa mavazi yenye mabaka mabaka kama ya jeshi ni akina nani?
Alikufa mwaka gani mdauMkuu eddo kafia gerezani
Ova
Alikufa mwaka gani mdauMkuu eddo kafia gerezani
Ova
Alikufa mwaka gani mdauMkuu eddo kafia gerezani
Ova
hivi unajua gentamycin si mkorofi labda avurugwe tu ndo anamaliza hasira kwa ataejipendekeza anga zake kwa wakati huo.otherwise ni mtu poa
Nimechekaaa ka mazuri vileee I'm in tears aseee majibu mubasharaaa.angalia mfano huu
EDDO ALIFUNGWA JELA SOUTH AFRIKA MUDA TU N'A KUNA WAKATI KULIKUWEPO N'A TAARIFA ZAKE ZA KUFIA GEREZANI .....Alikufa mwaka gani mdau