Kilichotokea kwa Mzee Mkapa kisitokee kwa kiongozi mwingine

Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.

Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.


Jr
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watu
 
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watu


Jr
 
Ila walimvalisha lile shela jeusi na sura ile ya uzee na majonzi aliyokuwa nayo usoni dah, ngoja nisiseme alivyokuwa anaonekana
Kwa hiyo ndugu ripota unataka kusema ile shela ya mama ilificha kitu zaidi ya majonzi? Unaweza kutueleza ni nini hasa?
 
Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.

Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.


Jr
Ule si mwili tu mkuu? Tena mbali na kuwa mwili hata haukai kwa foleni kama sisi wazima. Mi naona hata wangeutoa wakaucharaza viboko ni mwili tu hauna hisia yoyote ile. Kazi walikuwa wanajipa wao!
 
Kwa hiyo ndugu ripota unataka kusema ile shela ya mama ilificha kitu zaidi ya majonzi? Unaweza kutueleza ni nini hasa?
Dah, zumbe mimi nimeangalia kupitia Luninga, kuna angel mama alionyeshwa , yaani alionekana kabisa kama mfano wa yale madude yenye kuelekea kufanana nasi yanayopatikana hifadhi ya huko Kigoma
 
Ule si mwili tu mkuu? Tena mbali na kuwa mwili hata haukai kwa foleni kama sisi wazima. Mi naona hata wangeutoa wakaucharaza viboko ni mwili tu hauna hisia yoyote ile. Kazi walikuwa wanajipa wao!
Ndo maana natamani nikifa mwili wangu uchomwe, majivu wapewe wanangu, atakayepata kiungulia akoroge na maji ya moto anywe, imeisha hiyo
 
Kila mtu na mtazamo wake inategemea na imani ya mtu na mtazamo wa kiongozi husika na maelewano ya familia....nadhani nimeeleweka.

Wengine tusingependa ulale taifa maana pangekuwa pazito mno maana yule mtu mkubwa ndio maana hata mochwari si kila mtu huwa analinda.
 
Bila shaka ushauri wako utakuwa umewafikia wahusika,kiukweli haipendezi sana kila siku kuzunguka nao
 
Mimi hapa kaka... Asubuhi wanipeleke kijiweni kwangu napopata kahawa, mchana nipitishwe nilipozoea kupata ugali samaki, saa tisa nipitishwe kiwanja nilichokuwa napiga kilaji, jioni nipitishwe kwa mchepuko wangu Eva kisha wanirudishe kwa mama Bhoke nikalale kwa ratiba za kesho yake.
Kwa hiyo umeamua tunao vuta bangi na wewe hapa kijiweni tusikuage?.
 
Tatizo letu kubwa kwa sasa ni watumishi wa umma ku-cease kufikiri isipokuwa kila mmoja anasubiri maelekezo ya JPM. Hakuna anayejitolea kubeba mzigo wa kufukuzwa kazi tena hadharani kwa kutotekeleza maelekezo ya Rais. Tena kwa kila jambo. No one is ready daring to risk!
 
Back
Top Bottom