ubarinolutu
JF-Expert Member
- Oct 22, 2012
- 1,964
- 3,895
Chizi wewe
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watuNinachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.
Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
Jr
Ila walimvalisha lile shela jeusi na sura ile ya uzee na majonzi aliyokuwa nayo usoni dah, ngoja nisiseme alivyokuwa anaonekanandiyo maana mama Ana mkapa anajifunika gubi-gubi hadi usoni tusimuone anavyoumia kwa uchungu.
Mimi kwasababu sijui kama mtu akifa roho yake inaona mwili unavyotendwa huku sina maamuzi, ila kudadeki kama nikifa mwili halafu roho inaona kila kinachotendwa atakayefanya tukio baya kwa mwili wangu atanitambua, namzaba vibao mbele za watu
Kwa hiyo ndugu ripota unataka kusema ile shela ya mama ilificha kitu zaidi ya majonzi? Unaweza kutueleza ni nini hasa?Ila walimvalisha lile shela jeusi na sura ile ya uzee na majonzi aliyokuwa nayo usoni dah, ngoja nisiseme alivyokuwa anaonekana
Kumbe, Sokwe mtu ndiivyo walivyo mfanyia?! Hapo bado Adhabu za Kaburi.
Mwalimu Nyerere tulimuaga akiwa hapo hapo uwanjani kwa siku zote alizowekwa hakusumbuliwa.
Ule si mwili tu mkuu? Tena mbali na kuwa mwili hata haukai kwa foleni kama sisi wazima. Mi naona hata wangeutoa wakaucharaza viboko ni mwili tu hauna hisia yoyote ile. Kazi walikuwa wanajipa wao!Ninachojua kumsitiri mfu sio tu kumzika chini ya udongo, bali ni pamoja na kumuepusha na mizunguko ya aina hii.
Nikiuliza hapa nani angependa akifa awe anapelekwa uwanjan asubuh, anakaa huko masaa 12, na kisha jioni anarejeshwa nyumban kwake, kwa siku tatu mfululizo, nadhan hatapatikana.
Jr
Dah, zumbe mimi nimeangalia kupitia Luninga, kuna angel mama alionyeshwa , yaani alionekana kabisa kama mfano wa yale madude yenye kuelekea kufanana nasi yanayopatikana hifadhi ya huko KigomaKwa hiyo ndugu ripota unataka kusema ile shela ya mama ilificha kitu zaidi ya majonzi? Unaweza kutueleza ni nini hasa?
Ndo maana natamani nikifa mwili wangu uchomwe, majivu wapewe wanangu, atakayepata kiungulia akoroge na maji ya moto anywe, imeisha hiyoUle si mwili tu mkuu? Tena mbali na kuwa mwili hata haukai kwa foleni kama sisi wazima. Mi naona hata wangeutoa wakaucharaza viboko ni mwili tu hauna hisia yoyote ile. Kazi walikuwa wanajipa wao!
Sasa wewe screpa nani akuzungushe(jokes )Maandiko gani yanakataza kumzungusha Marehemu? Mimi kama screpa ningependa mnizungushe hata mwezi
Kwa hiyo umeamua tunao vuta bangi na wewe hapa kijiweni tusikuage?.Mimi hapa kaka... Asubuhi wanipeleke kijiweni kwangu napopata kahawa, mchana nipitishwe nilipozoea kupata ugali samaki, saa tisa nipitishwe kiwanja nilichokuwa napiga kilaji, jioni nipitishwe kwa mchepuko wangu Eva kisha wanirudishe kwa mama Bhoke nikalale kwa ratiba za kesho yake.