Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,156
- 31,039
Shida mimi nliyoona hawana backup, nadhani server yao ndiyo ilizingua kutokana na maelezo ya naibu waziri aliposema kifaa kinachounga mfumo wa tanesco na hii mitandao ya sim na akima maxmalipo, nikahisi itakuwa server ndiyo ilizingua.ishu sio kwamba mfumo kuzingua ishu ni kwamba mfumo ukizingua ww ume react vipi?Mifumo mingi inazingua lakini kutokana na ufanisi wa wataaramu haichukua hata dakika tatizo linakuwa solved.
Ilibidi wawe na backup.